Jamaa hawa ni hopeless kabisa , nemeenda pale Makao Makuu Victoria kama saa 7.15 mchana.
Receptonist anasema wameenda kula, waliobaki ni wa IT tu.
Sasa tuone MAAJABU
Nimepata message hii sasa hivi saa 8.04 mchana huu.
Hii ni baada ya kuwapigia simu no 100 mara kadhaa, sasa hivi wamenitumia ujumbe(sionyeshi no za utambulisho
"4JU******* Imethibitishwa, muamalawa kurudisha shughuli 4JU******* umefaulu na pesa kurudishwa mnamo 30/10/17 saa 4.41PM na sh570,000.00 zimeingizwa kwa akauni yako ya M-Pesa Baki yako mpya ya M-Pesa ni 610,000.00"
Please note: time 4.41PM!!!! time ambayo haipo, hivyo si kompyua inayofanya input, ni mtu aliyepanic!
Conclusion: Ni kweli kabisa kuna employees wanachezea accounts za wateja .
VODA M-PESA SI MAHALI SALAMA