umesoma ulichokiandika kabla ya kupost?Mkuu sidhani km huwa wanasema baada ya masaa 72,huwa wanasema pesa zako zitarudishwa ndani ya saa 72 siyo baada ya masaa 72 ni ndani ya hayo masaa.
Ikumbukwe pia huyo unayeongea nae,kazi yake huwa ni kuchukua taarifa zako,kisha anatuma kwenye kitengo cha miamala. Na kesi km hizo ni nyingi sana! Ndo maana wanaweza kukuambia ndani ya saa 72 lkn ukarudishiwa muda uleule




Kiongozi, tatizo kama hili likikupata tutafute tukusaidie. Karibu sanaWanasheria mliomo humu JF, hamuwezi kutushauri jinsi ya kudai damages for non rendering of service.
Mtu kutuma hela kwa mgonjwa isifike in time, akipoteza uhai si lazima iwepo kesi?
Ww ndo hujaelewa nilichoandika na ndo shida ya wengi ktk hili. Kuna tofauti kati ya baada ya masaa 72 na ndani ya saa 72. Ukisema baada ni mpaka masaa 72 yapite,lkn ndani ya saa 72,maana yake tatizo lako litatatuliwa ndani ya hayo masaa yaani hata baada ya saa 1 tu.umesoma ulichokiandika kabla ya kupost?
kwa hiyo kwa akili yako ilivyo uko tayari kuifanya shida yako isubiri hiyo saa 1 ama 72 kama unavyosema? Muda mwingine ni bora kukaa kimya kuliko kujifanya kimbelembele katika mambo ambayo yanagusa maisha ya watu.Ww ndo hujaelewa nilichoandika na ndo shida ya wengi ktk hili. Kuna tofauti kati ya baada ya masaa 72 na ndani ya saa 72. Ukisema baada ni mpaka masaa 72 yapite,lkn ndani ya saa 72,maana yake tatizo lako litatatuliwa ndani ya hayo masaa yaani hata baada ya saa 1 tu.
Soma vizuri logic ninayoelezea.Ni kwa nini unasema 4:41 PM haipo?
Sawa ila hata system huwa zinakosea nilitaka nielewe tu hapo uliposema 4:41 PM haipoSoma vizuri logic ninayoelezea.
Kwanza message imeingia saa8.04 mchana, ikikutaarifu kuwa saa 4.41 wamerudisha muamala.
Kiu ambacho hakipo mmana nusu saa tu kabla ya hapo niliwapigia kulalamika kwa nini muamala haujarudshwa , na wakasema wataurudisha ndani ya siku nne!!
Which means ile message ya ksema muamala umerudishwa saa 4.41 was fake!
Mkuu system haiwezi kukosea maana messaging huwa ni automatic.Sawa ila hata system huwa zinakosea nilitaka nielewe tu hapo uliposema 4:41 PM haipo
Watag TCRA !Kuna rumours kuwa wafanyakazi wana mtindo wa "kujikopesha" hela za wateja.
Mselewa anahusika hapa, mtu amtag !Wanasheria mliomo humu JF, hamuwezi kutushauri jinsi ya kudai damages for non rendering of service.
Mtu kutuma hela kwa mgonjwa isifike in time, akipoteza uhai si lazima iwepo kesi?
.....niliwahi kumtukana mmoja ! Nimemueleza tatizo langu akashindwa kulitatua halafu hapo hapo ananiuliza kama nina shida nyingine.Wanajibu kama robots wakati ni binadamu