Tumia M-Pesa at your own Risk!

Tumia M-Pesa at your own Risk!

Sipingani na wewe..
kuna ndugu yangu alituma pesa bank kama rejesho kutoka kwenye acc yake ya mpesa lakin cha kushangaza salio likapungua na pesa haikufika bank...

Kufuatilia kwenye branch zao wanamwambia mitambo ya mpesa ilikua marekan xo kuna tatizo ndo wanashughulikia....baada ya miez 2 ndo wakamrudishia ile hela na hapo bank wamesha mpiga fine za kutosha...

Mpesa mnatupa wasiwasi.
 
Hivi walishaacha ile tabia yao ya kuiba pesa za wateja wanaotumia SIMBANKING na huduma zingine? mwanzoni waliwaliza sana watu hasa watumishi wa umma, ukienda benki wanakwambia sio sisi nenda VODA, ukienda Makao makuu yao unazungushwa hadi uchoke, mfyuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu vijana wa IT hapo voda
 
Haya matatizo nyuma yalkua hayapo...mmeshajiuliza kwa nini yameanza hivi karibuni?.....Uchumi unapanda...
 
Back
Top Bottom