Lowassa mwanasiasa bora ,mahiri,mvumilivu,mchapa kazi ndiyo maana kawateka mawazo yenu kila siku lowassa kwani si kuna wanasiasa wengine kwanini msiwajaliji,tunaelekea karne nyingine na lowassa anasonga mbele kuelekea kwenye ndoto yake,kilichobaki tumshauri tu pale penye makosa ili afike vizuri.mungu ana mpango na kila mtu i mean if god wish lowassa will be the president if not atapumzika