Tumezikosea nini taasisi za Serikali?

Tumezikosea nini taasisi za Serikali?

mirindimo

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2009
Posts
1,042
Reaction score
2,143
Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.

Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
 
Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !!
Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Mkiambiwa tukinukushe mnaseme hayo ni mambo Tundu lissu, tatizo ni mfumo sio tasisi.
 
Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.

Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !!
Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Zitajeni hizo taasisi tuzizomee
 
Rushwa ni changamoto ya kimfumo, ata kupata maombezi ya kiimani inabidi mkono urefuke au utoe sadaka iliyonona.
 
Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.

Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Huo mkoa hauna ofisi za PCCB
 
Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.

Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Hatuja zikosea chochpte ila zenyewe ndiyo zimewakosea Wtanzania!
 
Back
Top Bottom