mirindimo
JF-Expert Member
- Nov 2, 2009
- 1,042
- 2,143
Yaani unafanya maombi ya kitu flani kwenye taasisi ambacho utalazimika kukilipia kwa kupata Control number, sasa ili upate Control number inakulazimu tena utoe RUSHWA ili utolewe Control number haraka ukalipie uendelee na mambo yako mengine.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.
Hizi ni Taasisi ambazo wafanyakazi wake wanalipwa mishahara kwa kodi zetu !! Mimi ntatoa Rushwa sawa lakini ntahakikisha Serikali pia nainyoosha sawa sawa.