Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Swafi sana Chadema 2015 tunachukua nchi
Hamuiwezi CCM nyie CDM labda muache kuvaa makombati!
Swafi sana Chadema 2015 tunachukua nchi
ni Ukwega mkuu, si unapita ipalamwa then ukwega. Mi nilifika pale kikazi nikaomb kuonana na mwenyekiti nikapelekwa nikaongea naye mambo yetu na akaniuzia soya. Ni kijana hiv mweupe. Wakuu kama ni kweli basi ni kimbunga cha mabadiliko, aisee ni mbali, ndo vijiji vya mwisho kbs kijiografia kwa wilaya ya kilolo kama ukwega
Niko firm kwenye jibu langu!!Du JF bhana kweli ni noma....kila unachotaja/kuuliza unapata jibu......haya mtoa mada aje ajibu kama huyo mwenykt ndiye au mdau aliletewa mtendaji....otherze Hongera CDM, ili ushinde urais unahitaji kwanza kukubalika ngazi za mtaa,kijiji,kata,wilaya hadi taifa
Hatushindani na CCM bali wananchi wanaiamini CHADEMA. Kama CCM wanaweza kushindana na wananchi. TUSUBIRI TUONE!!Hamuiwezi CCM nyie CDM labda muache kuvaa makombati!
Tarehe 18/12/2011 kulifanyika uchaguzi kwenye kijiji cha magulilwa ambapo CHADEMA tulishinda na bango lake nikalileta humu. Leo tena kuna uchaguzi umefanyika kwenye vijiji vinne vya Halmashauri ya Kilolo, vijiji hivyo ni Ukwega, Ukumbi, Utengule na Kiwalamo. CHADEMA imeshinda vijiji vitatu (3) vya Ukwega, Ukumbi na Utengule na CCM imeambulia kijiji kimoja cha Kiwalamo.
Nawapongeza makamanda wote waliokuwa Frontline!!
Nawasilisha!!
Hamuiwezi CCM nyie CDM labda muache kuvaa makombati!
Kabla sijaanza kushangilia naomba kujuzwa, hivyo Vijiji vipo Mkoa/Wilaya gani?
Viva Chadema, Chama Dume.
Hamuiwezi CCM nyie CDM labda muache kuvaa makombati!
Hee CDM imefika hadi huko vichakani!