mimi naona habari yenyewe haina mashiko, ni upupu mtupu; kwanza hivi ni vijiji vya wapi? Tanzania kweli?
Hee! yaani we bado hata haujajiunga? Wenzio wanahamia!mbona mnanishawishi jamani,mjue sina chama hivyooo
hongera CDM
Mbona siku hizi hata vijijini wanajua kuwa CCM ni gamba, ukichagua gamba halivuliki!vijiji kuchukuliwa na cdm huo ndio mwanzo na msingi wa ukombozi kwa mtnzania mlala hoi.
Mtaji wa ccm ni vijijini sasa sijui inakuwajeTarehe 18/12/2011 kulifanyika uchaguzi kwenye kijiji cha magulilwa ambapo CHADEMA tulishinda na bango lake nikalileta humu. Leo tena kuna uchaguzi umefanyika kwenye vijiji vinne vya Halmashauri ya Kilolo, vijiji hivyo ni Udekwa, Ukumbi, Utengule na Kiwalamo. CHADEMA imeshinda vijiji vitatu (3) vya Ukwega, Ukumbi na Utengule na CCM imeambulia kijiji kimoja cha Kiwalamo.
Nawapongeza makamanda wote waliokuwa Frontline!!
Nawasilisha!!
CHADEMA imeshinda vijiji vitatu (3) vya Ukwega, Ukumbi na Utengule na CCM imeambulia kijiji kimoja cha Kiwalamo.