Tumewagalagaza tena CCM!!

Tumewagalagaza tena CCM!!

Mnakoshindwa uchaguzi mbona hamleti taarifa humu???
 
Mnakoshindwa uchaguzi mbona hamleti taarifa humu???

Rejao,
Kazi ya kuleta taarifa maeneo ambayo MAGAMBA wameshinda ni kazi yako. Swali linarudi kwako kwa nini huwa uleti taarifa? Ukweli ni kwamba tangu chaguzi ndogo zianze baada ya uchaguzi mkuu wa 2010, mmekuwa mkipoteza Kata, Vijiji, na Mitaa mlivyokuwa mnashikilia

 
Nawaoma CDM Wakamwonyeshe Waziri wa Megawati (Ngele...) Kuwa hela zake za Ufisadi na Kununua watu havitasaidia Kuchelewesha Ukombozi!! Hivyo waende wakampe Somo!!
 
Good newz! Go on CDM! CCM ya JK imeshindwa kuongoza hii Nchi, acha cc CDM tuichukue tuwakomboe Watanzania kutoka ktk lindi la umaskini uliosababishwa na ubinafsi wa watu wachache wakiongozwa na viongozi wote wa chama cha magamba kuanzia ikulu hadi vijijini! CDM ooyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Rejao,
Kazi ya kuleta taarifa maeneo ambayo MAGAMBA wameshinda ni kazi yako. Swali linarudi kwako kwa nini huwa uleti taarifa? Ukweli ni kwamba tangu chaguzi ndogo zianze baada ya uchaguzi mkuu wa 2010, mmekuwa mkipoteza Kata, Vijiji, na Mitaa mlivyokuwa mnashikilia

CCM inafanya kazi...haihitaji kujitangaza! Tukisema ni kutangaza kila sehemu CCM inaposhinda server ya JF itajam!!
 
CCM inafanya kazi...haihitaji kujitangaza! Tukisema ni kutangaza kila sehemu CCM inaposhinda server ya JF itajam!!
CCM huwa haishindi bali huwa ina - retain nafasi zake. CHADEMA inashinda kwa sababu huwa inachukua viti vilivyokuwa vinashikiliwa na CCM, huo ndiyo USHINDI!!
 
CCM huwa haishindi bali huwa ina - retain nafasi zake. CHADEMA inashinda kwa sababu huwa inachukua viti vilivyokuwa vinashikiliwa na CCM, huo ndiyo USHINDI!!
ok..ok...ok... CDM wanashinda then wanafukuzana!! Hii akili au matope???
 
ok..ok...ok... CDM wanashinda then wanafukuzana!! Hii akili au matope???
kweli bwana mpaka sasa wameshafukuza wenyeviti wa vijiji walioshinda 30!! CHADEMA bwana kwa kufukuzana... LOL
 
Tarehe 18/12/2011 kulifanyika uchaguzi kwenye kijiji cha magulilwa ambapo CHADEMA tulishinda na bango lake nikalileta humu. Leo tena kuna uchaguzi umefanyika kwenye vijiji vinne vya Halmashauri ya Kilolo, vijiji hivyo ni Ukwega, Ukumbi, Utengule na Kiwalamo. CHADEMA imeshinda vijiji vitatu (3) vya Ukwega, Ukumbi na Utengule na CCM imeambulia kijiji kimoja cha Kiwalamo.

Nawapongeza makamanda wote waliokuwa Frontline!!

Nawasilisha!!

uchaguzi gani huo?
 
GreatThinkers,
Hii ni kauli ya Ujinga
Kidumu chama cha Mapinduzi-Kidumuuuuu

Hii ni kauli ya Uzembe
Hata mie sijui kwa nini Tanzania ni maskini

Na hii ni sauti ya Ushupavu
Peoplesssssssssssssssssss Powerrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrrr
 
Back
Top Bottom