- Tumetoka Mbali -

Babukijana, usimlaumu ELNINO kwani hana uwezo wa ku-delete post ya mtu mwingine? Ni mods (administrators) tu ndo wenye uwezo wa kufanya hivyo na wewe mwenyewe uliyeweka hiyo post. Inaonekana kuwa mods wamehamisha hii thread toka ilikokuwa (habari mchanganyiko) kuja hapa jukwaa la picha na wameona post zako zenye picha ni dublicate huenda ndo maana wamezifuta.
mmh ok sikujua mambo haya.
 
Back
Top Bottom