Tumetoka huku...

Tumetoka huku...

Mkuu,thanks for the all videos,that you have uploaded on this thread!ebu niwekee na ule wa Daz Baba ft Mr Blue-Usiku Huu!
 
Aiseeee! Halafu wanakuja wajinga wanasema Ali Kiba anaimba kuliko zamani, hebu tupia ile moja ya Ali kiba aliomshirikisha Queen Darlin wimbo unaitwaje sijui ( Mi mwenzio nakupenda....penda....kila siku naliaaaaaaaa.....mi mwenzio nakuwaza.....) KENZY bila kusahau ya q chief ft fatuma-nimeridhika nae
 

Daah ! Mkuu umenikumbusha mbali sana... ! Huyu Dada (V.2) nilikuwa nampenda mpaka nikawa naumwa bila ya kumuona yeye kwenye TV enzi hizo ilikuwa tvt ! ! Na nilikuwa namwonea wivu sana bwan chuchu (RIP legendary) maana najua lazima aliwahi kumpitia tu huyu dada..!
 
Mwana F.A anakuambia temeke rap sasa mwisho kuwakilisha.siyo kwamba sipendi harufu ya wa kienyeji
Hapana kipande hicho amechana KAMANDA BOKASA a.k.a. King Crazy GK,KENZY usisahau na ama zangu ama zao ya east coast team waliomshirikisha JD komando
 

This is one of the best song of all time in Tanzania.. ! Mika mwamba nadhani kwangu mimi ndiye the best beat maker in Tanzania... ! Cos nikiangalia hii baby girl ya mad ice pamoja na elimu mtaani ya D. Knob nashindwa kuelewa huyu mzee alikuwa anafikilia nini wakati anatengeneza beat hizi... !
 
Aiseeee! Halafu wanakuja wajinga wanasema Ali Kiba anaimba kuliko zamani, hebu tupia ile moja ya Ali kiba aliomshirikisha Queen Darlin wimbo unaitwaje sijui ( Mi mwenzio nakupenda....penda....kila siku naliaaaaaaaa.....mi mwenzio nakuwaza.....) KENZY bila kusahau ya q chief ft fatuma-nimeridhika nae
 
This is one of the best song of all time in Tanzania.. ! Mika mwamba nadhani kwangu mimi ndiye the best beat maker in Tanzania... ! Cos nikiangalia hii baby girl ya mad ice pamoja na elimu mtaani ya D. Knob nashindwa kuelewa huyu mzee alikuwa anafikilia nini wakati anatengeneza beat hizi... !
Unaipata hiyo..?
 
Back
Top Bottom