Tumeshindwa kumtumia 'Super Black' wetu kwa miaka 10 tufanikiwe, acha Wao sasa wamtumie 'Skafu Skafu' wapige hatua zaidi yetu

Tumeshindwa kumtumia 'Super Black' wetu kwa miaka 10 tufanikiwe, acha Wao sasa wamtumie 'Skafu Skafu' wapige hatua zaidi yetu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
63,006
Reaction score
126,388
Na ndiyo maana nilifurahi mno kuona Super Black kachezewa mchezo alikokuwa na sasa hayuko kwani hakutusaidia.
 
Simba na mtani wake Yanga wananufaika na Majaliwa na Mwigulu kwa nafasi ya uwaziri mkuu
 
Pumzika kwa AMANI baba yetu john MAGUFULI ....ulisema TUTAKUKUMBUKA Tessa TUTAKUKUMBUKA milele





Wanakuongelea kwa code Sasa ila inaeleweka
 
Back
Top Bottom