Mwenye kaya labda wazo lake alipeleke Netherland kuhamisha shughuli za The Hague kwenda Amsterdam maana zipo dalili za makazi yake kuhamia huko
Noma sana!Haya Ndugu Zangu Nimekuja Hapa Kigamboni Kufanya Ziara Ya Kikazi. Mjue Dar es salaam Kwasasa Ni Mkoa Kama Mikoa Mingine.
Nakumbuka Mtu Anakwenda Nyumba Za Kulala Wageni
Kwenye Daftari Anaandika
Unatoka Dar es salaam, Unakokwenda Dar es salaam![]()
Historia na vizazi vyetu vitakuja kusema kuhusu sisi kwenye hili. Wazo lilikuwa sahihi enzi zile za mwalimu lakini sio sasa.
Nadhani tuishie hapo tulipokwishafika kutekeleza wazo la mzee wetu la 70s, chenchi iliyobaki tuiwekeze kwenye kasi ya ujenzi wa miundombinu ya umeme na internet ya uhakika, elimu, na usafiri wa haraka na rahisi nchi nzima na kuzitawanya Wizara kulingana na geografia yetu. Mfano, Wizara ya madini ijengwe Mwanza, Wizara ya kilimo ijengwe Morogoro, Wizara ya utalii ijengwe Arusha, Wizara ya elimu Dar es Salaam, nk na teleconferencing itumike kuendesha vikao mbalimbali kama ikibidi badala ya kukusanyika wote kwenye ukumbi mmoja na kueneza Corona (CoViD)
kama internet na umeme vinaenda kwa kasi maana yake karibu Tanzania nzima inakaribia kuwa kitongoji kimoja very soon, hivyo hutahitaji kwenda makao makuu ya wizara kuhudumiwa badala yake internet na umeme vitafanyakazi bora na haraka. Kama ni hivyo hili suala la umbali na ukaribu wa Dodoma unatoka wapi? watu wataenda dodoma kufuta na kupeleka nini? Hebu tuiheshimu na kuipa hadhi nguvu ya electronic. Kuhamina Dodoma na maendeleo ya kupata umeme na internet is inversely proportional badala ya ku move parallel at the same direction.Vyote ulivyovitaja (umeme, internet n.k) vinaenda kwa kasi zaidi kuzidi huo uhamisho. Hivyo nadhani maamuzi ya kuhamia hayajaathili kitu, wacha tuhamie maana Dodoma nako ni kwetu hatujatoka nje ya Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwakweli tushahamia nina mwezi mmoja Sasa nishakula kuku za baa zoteNdo tushahamia hivyo, kingine?
Vyote ulivyovitaja (umeme, internet n.k) vinaenda kwa kasi zaidi kuzidi huo uhamisho. Hivyo nadhani maamuzi ya kuhamia hayajaathili kitu, wacha tuhamie maana Dodoma nako ni kwetu hatujatoka nje ya Tz.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ila Dodoma inakua kwa kujengwa aiseeeee.Huna akili!! Hujaipata concept ya mtoa mada!! Sasa hivi kuna video conference, kuna uwasilishaji wa bajeti wa halmashauri na mikoa kwa njia ya internet!! Kwahiyo hata makao makuu ya nchi kama ilivyo Dar yangekuwa TANDAHIMBA !!! Kusingekuwa na haja ya kuamishia makao makuu Dom, kwani hata barabara ziko vizuri lakini mbaya zaidi dhidi ya ku mkwepa adui, eti dar inavamiwa kirahisi kisa iko jirani na bahari!! Siku hizi hata HQ Ikulu ukiiweka Nanjilinji!! Utatunguliwa hata bila mkulima wa kilwa masoko kuguswa!!! So In Big Conclusion ni kwamba katika zama hizi za utandawazi hatukupaswa kuhamia Dodoma bali kuimarisha miundombinu ya mitandao na barabara!! Na ingeokoa mabilioni au matilioni ya shilingi!!! Namuomba JPM a review maamuzi ili aokoe pesa na kufanikisha miradi muhimu ya nchi. Ili tusonge mbele Yatupasa Tusonge Pamoja!!
Hivi kwanini haendi!?