Hebu nisome vizuri, huenda jibu langu (kwa maoni yangu) liko tayari hapo juu.Mkuu umeeleza na umeeleza vizuri kabisa. Hapa hoja ni kama mchakato wa kufukuzwa ulihitimishwa inavyotakiwa kikatiba.
Hebu nisome vizuri, huenda jibu langu (kwa maoni yangu) liko tayari hapo juu.Mkuu umeeleza na umeeleza vizuri kabisa. Hapa hoja ni kama mchakato wa kufukuzwa ulihitimishwa inavyotakiwa kikatiba.
Mi jf sihami kwakwelWeka hiyo katiba ya cdm na vifungu tujisomee na sisi
Sio tu kuandika kama headless chicken
SureWeka hiyo katiba ya cdm na vifungu tujisomee na sisi
Sio tu kuandika kama headless chicken
Utakuwa huna akili timamu kama watu wenyewe wanakiri kufukuzwa lakini nyie mnawalazimisha.Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Hebu soma upya post yako halafu ujifanye ni msomaji mwingine! Unaona post imekamilika kueleweka na kushawishi??Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Wabunge wameapishwa bila chama kuwaidhinisha bado tu unasema wanastahili kuwa wanachama, msimamo wa chama ulikua upi? Kama wamekiuka msimamo wa chama obvious hawako tayari kuwa wanachama, ni swa na wewe ufanye kinyume na mkataba wako wa ajira halafu ufukuzweMaoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
ni sawa ila lazima mchakato wa kunifukuza ukamilikeWabunge wameapishwa bila chama kuwaidhinisha bado tu unasema wanastahili kuwa wanachama, msimamo wa chama ulikua upi? Kama wamekiuka msimamo wa chama obvious hawako tayari kuwa wanachama, ni swa na wewe ufanye kinyume na mkataba wako wa ajira halafu ufukuzwe
Kwakuwa umeshasema wataendelea kuwa wabunge kutaka tusitake ngoja nikuache.Mkuu umeeleza na umeeleza vizuri kabisa. Hapa hoja ni kama mchakato wa kufukuzwa ulihitimishwa inavyotakiwa kikatiba.
Mkuu mtu aliyehukumiwa kufungwa anapokata rufaa kwa utaratibu wa magerEza kifungo kinasimama anatoka kuwa mfungwa na kuwa mahabusu ila anabaki gerezani kama ambavyo wale walioKo gerezani kama mahabusu kama wale makshehe wa uamusho au Rugemalila na Seth.Kwakuwa umeshasema wataendelea kuwa wabunge kutaka tusitake ngoja nikuache.
Ila unauelewa mdogo sana.
Christopher bagen yule wa case ya zombe amepata rufaa mahakama kuu hivi tunavyosema yupo wapi ??? Nje au gerezani kwakuwa mchakato wa rufaa haujakamilika?
Hivi ulisoma wapi wewe jamaa.