Headless chicken ahahahaaaaaaaWeka hiyo katiba ya cdm na vifungu tujisomee na sisi
Sio tu kuandika kama headless chicken
Weka hiyo katiba ya cdm na vifungu tujisomee na sisi
Sio tu kuandika kama headless chicken
Haujakamilikaje? Ebu fafanuaMaoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
sioni unapata wapi haki ya kunitukana?
Kama unaongea ushuzi unastahili kutukanwa na kutemewa mate.sioni unapata wapi haki ya kunitukana?
Achana na Covid 19 mkuu. Jikinge nayo!!! Malimao, tangawizi na pilipili kwa wingi.Maoni ya Mh. Nape juu ya uhalali wa wabunge wa vitu maalumu CHADEMA umenishangaza kidogo kwa sababu mchakato wa kuwafukuza uanachama haujakamilika kwa mujibu wa katiba ya CHADEMA, JMT na Natural law.
Tena alipigwa za uso za nguvu mkuu!!Nape lazima atafute namna ya kuiumiza awamu iliyopita... Kumbuka naye alipigwa za uso....
Full kuparurana
Sijakutukanasioni unapata wapi haki ya kunitukana?
Itakua humo humo kwenye katiba....sioni unapata wapi haki ya kunitukana?
sioni unapata wapi haki ya kunitukana?