Ado Shaibu
Member
- Jul 3, 2010
- 99
- 108
- Thread starter
- #61
Iko chini ya Jaji Kiongozi Feleshi, Jaji Masoud na Luvanda. Jopo la Majaji watatu kama ilivyo adahuyo hakimu hajipendi.
Iko chini ya Jaji Kiongozi Feleshi, Jaji Masoud na Luvanda. Jopo la Majaji watatu kama ilivyo adahuyo hakimu hajipendi.
🤣🤣🤣🤣🤣unekuja kujisifia kwa hii ids
Bunge lenyewe "CCM dominated"Kutisha kura ya kutokua na imani naye bungeni
Sijakuelewa kabisaNdg Ado pole kwa kupoteza muda wako,pili pole kwa kukitumikia chama chenye mwelekeo wa kufutika hivi karibuni maana mwanzilishi atakuacha solemba.Tumia nembo yako kama Mtanzania achana na bendera/ nembo mfu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nmekazia pia
Leo ndio nimeielewa komenti yako mkuu Retired cc Salary SlipWell and fine! You are absolutely right! My worry, Tuna Judges wa ku handle kesi kama hiyo? Kuna Judge kwenye high court wa kuwa na guts za kutoa hukumu ya HAKI dhidi ya Rais? Hawa majaji wa "UPE"?
Ukisoma Judgements za akina Lugakingira, Katiti, Mwalusanya na wengine wachache sana ambao sijawataja, these had guts to dispense justice, hawa wa leo hakuna anayeweza kusoma, kwenda library, personal intuition (judicial intuition) akatoa maamuzi yenye high power mental faculty reasoning within the confines of law! Akina Wilbard Mashauri?? Mashauri, yuko High Court??? Shame! Shame on Judiciary, Aibu Ibrahim Juma, CJ!
Nisamee kwa comment yangu inaweza isipendeze, lakini ngoja niiseme!
Hatimaye wamemfyeka fatma karumeIko chini ya Jaji Kiongozi Feleshi, Jaji Masoud na Luvanda. Jopo la Majaji watatu kama ilivyo ada