Judge Mashauri mwenyewe kapewa ujaji kwa hisani ya kuwaweka ndani Mbowe na Esther wakati anatakiwa kustaafu. Kwa hiyo kateuriwa ili astaafu akiwa juji na kula pensheni ya ujajiWell and fine! You are absolutely right! My worry, Tuna Judges wa ku handle kesi kama hiyo? Kuna Judge kwenye high court wa kuwa na guts za kutoa hukumu ya HAKI dhidi ya Rais? Hawa majaji wa "UPE"?
Ukisoma Judgements za akina Lugakingira, Katiti, Mwalusanya na wengine wachache sana ambao sijawataja, these had guts to dispense justice, hawa wa leo hakuna anayeweza kusoma, kwenda library, personal intuition (judicial intuition) akatoa maamuzi yenye high power mental faculty reasoning within the confines of law! Akina Wilbard Mashauri?? Mashauri, yuko High Court??? Shame! Shame on Judiciary, Aibu Ibrahim Juma, CJ!
Nisamee kwa comment yangu inaweza isipendeze, lakini ngoja niiseme!