Tumekubaliana tuweke sumu kwenye chakula ili afe!!

Tumekubaliana tuweke sumu kwenye chakula ili afe!!

bampami

JF-Expert Member
Joined
Nov 5, 2011
Posts
5,700
Reaction score
4,126
Nesi mmoja aliachiwa maagizo na ndugu
wa mgonjwa ikifika saa 8 ampe mgonjwa
chakula.. Yule nesi kabla ya saa 8 akala
yeye chakula.. Ilipofika saa 8 kasoro yule
ndugu akapiga ikapiga cm akasema ikifika
mda wakula umlazimishe humo kuna
sumu tumekubaliana kwamba afe hatuna
hela ya kumpeleka india..
Unajua kilichotokea kwa nesi?


- itaendelea ngoja nikaoge kwanza . . . .
 
Mkuu unaoga nusu saa maana mie nimesubiri kujua kilichondelea.
 
#Daddo #M .EM.A kweli hamjui kilichoendelea hapo!??#

Labda matatu:
1. Nesi kawahi maziwa na kapona au kafa.
2. Kamwambia mgonjwa ndugu zako wanataka kukuua kwa sumu.
3. Nesi katoa taarifa uongozini, na ndugu hawaruhusiwi kupeleka vyakula.
 
Kuendekeza njaa kuna madhara. Thanx mkuu u made my dei. Ha ha!
 
Back
Top Bottom