Tumejiandaaje na majanga ya dharura?

Tumejiandaaje na majanga ya dharura?

Huenda ikawa taifa limepata msiba mwingine mkubwa baada ya ndege ya Precion Air kupata ajali ziwa Victoria ikikaribia kutua Bukoba airport
Ndege hii ni ileile ya jana iloyopata hitilafu ya engine kuzimika na kutua kwa dharura Kilimanjaro airport

Kabla ya ajali hii kuna mwanajamii Forum kwa jina la maharage ya ukweni alitabiri kutokea kwa ajali ya ndege! Pengine kwa mataifa yanayozingatia mambo ya kiroho hili lingetosha kuwa kwenye alert! Lakini hili si mukatadha wa mada hii

Kuna mambo yanafikirisha sana kwenye hii ajali..! Kuna mambo sio kipaumbele kwetu hasa matukio ya dharura
Tutawapoteza watanzania wenzetu kwa kukosa vifaa sahihi na muhimu kwenye uokoaji
Hapakuwa na helikopta yoyote ya kutoa msaada kwenye uokoaji..
Hapakuwa na hata tag boat ya kuivuta ndege nchi kavu! Imevutwa kwa kamba na watu
Tuna bajeti nono kwa ajili ya Ma V8 ya viongozi lakini si kwenye dharura na uokozi.. Unapoipa siasa thamani kubwa kuliko taaluma haya ndio madhara yake

Sililaumu sana jeshi la zimamoto na uokoaji, kuna wakati likiwa limeona sasa kuwepo na umuhimu mkubwa wa kuwa na vifaa vya uokoaji zikiwepo drone za uokoaji watoa maamuzi waliishia kutumbuliwa na mwanakwenda! Kama tatizo lilikuwa mkataba wa kifisadi si ungetafutwa mwingine bora lakini si kuacha kabida kuagiza vifaa hivyo muhimu sana

Tuna majengo marefu sana kwasasa hapa nchini na madaraka makubwa lakini sina hakika kama kitengo chetu cha zimamoto na uokoaji kina uwezo wa kuyahudumia pindi litakapotokea janga

Maisha ya wananchi wengi yanaangaamia kwa kuipa siasa thamani kubwa kuliko weledi.. Kuna wale watoto wa Mtwara walipata ajali na gari ya shule! Huwezi kuamini walibwebwa na magari ya wagonjwa mpaka dar wakati ingetumika helicopter wangegikishwa kwa haraka Muhimbili na wangesaidika kwa haraka

View attachment 2408447View attachment 2408448

Daa
 
Kazi wao wanajiangalia kwa kujinunulia ma cruiser za milioni 500 vitu vya kusaidia wananchi hawanunui maana ilikua inatakiwa wajifunzi kutokana na ile meli ya ukerewe lakini wapi
 
Kuna vitu vya muhimu pengine ndege za hapa nchini nyingi hazina kama hiyo Automatic dependent surveilance broadcast, ambayo inaziwesha ndege ikiwa angani iweze kuwasiliana na ndege nyingine na pia iwe rahisi kufuatiliwa popote
Screenshot_20221106-151350.jpg
 
Kuna vitu vya muhimu pengine ndege za hapa nchini nyingi hazina kama hiyo Automatic dependent surveilance broadcast, ambayo inaziwesha ndege ikiwa angani iweze kuwasiliana na ndege nyingine na pia iwe rahisi kufuatiliwa popote View attachment 2408524
Tunatumia mitumba ambayo pengine iko outdated na pengine wahusika hawataki kufanya upgrading kwa kuhofia gharama ama vinginevyo
 
A Tanzanian passenger plane has crashed into Lake Victoria as it attempted to land in the lakeside town of Bukoba, killing at least three people.

The Precision Air flight was carrying 43 people, 26 of whom have been rescued and sent to hospital, an official said.

The two pilots survived the crash but remain trapped inside the cockpit and have been speaking to local officials.

Rescue workers and local fishermen are on the scene trying to rescue those still inside the aircraft.

Emergency workers have used ropes to pull the ATR-42 aircraft closer to the shore of Lake Victoria, Africa's largest lake. One end of the runway at Bukoba airport lies right next to the shore.
 
Dear colleagues and friends

As you may have heard, today 6th November 2022 in the morning hours, Precision air flight to Mwanza via Bukoba crushed while landing at Bukoba airport.

Among the passengers were MDH staff the following were rescued right away:
1. Dr. Josephine Mwakisambwe
2. Dr. Felix Otieno
3. Mr. Nixon Jackson

However the following colleagues have not yet been rescued yet and we are prayerful waiting.

1. Dr. Boniphace Jullu
2. Ms. Neema Faraja
3. Mr. Zacharia Mlacha
4. Dr. Alice Simwinga
5. Dr. Sauli Epimack John

MDH management is closelly following up the news and official statements as they unfold. We will inform you as we receive them.

Meanwhile, we encourage you to stay calm and join us to pray for our colleagues as rescue efforts are ongoing

Thank you

Dr. David Sando
Chief Executive Officer
 
Simulizi ya mnusurika
 
inatosha kusema haya ni mafanikio ya makubwa ya Mama.
 
Back
Top Bottom