Just Distinctions
JF-Expert Member
- May 5, 2016
- 2,703
- 5,334
Haya Mkuu japo mi napatwa na shaka unaposema huna chama, na kinachonipa wasiwasi ni jinsi ulivyo na bidii katika hili jukwaa ambalo ni maalum kwa ajili ya siasa.
hii bidii ungekuwa nayo kule kwenye jukwaa la sheria ambako wengi wanahitaji msaada wako japo wa kiushauri tu ungekuwa umeitendea haki taaluma yako.
badala ya ku-balance kati ya chadema na CCM kwenye jukwaa la siasa ambayo unakiri huna chama. mi naona itakuwa vema zaidi uki-balance michango yako katika jukwaa la sheria ambapo una taaluma napo. Wasalaam
#DG
hii bidii ungekuwa nayo kule kwenye jukwaa la sheria ambako wengi wanahitaji msaada wako japo wa kiushauri tu ungekuwa umeitendea haki taaluma yako.
badala ya ku-balance kati ya chadema na CCM kwenye jukwaa la siasa ambayo unakiri huna chama. mi naona itakuwa vema zaidi uki-balance michango yako katika jukwaa la sheria ambapo una taaluma napo. Wasalaam
#DG