kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,002
- 9,091
Tupo vizuri
Yaani Mkuu mimi nasikitika kuona mwananchi anakufa kwa kupigwa radi halafu hiyo radi inaliacha hilo li-stone linadunda.Na bado.Alijisemea mama mmoja hivi kuwa hata hewa hii ya oxygen inayopatikana tz italipiwa as long as upo tz.God forbid this dude take him with its evil CCM.
Hiki ni chanzo kikubwa cha mapato ukizingatia kuwa kuna wachimba dawa takribani milioni 52 Tanzania.Walete na Kodi ya shimo la Choo.
Bado kulipia pumziTunakoelekea hata eneo la kuanikia nguo hapo home itabidi ulipie