Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
tunaongozwa na jiweNadhani jenereta ingechukuliwa kama gari au mashine nyinginezo. Kodi tayari zinalipwa kupitia mafuta. Kwanini kuwe na kodi nyingine ikiwa tayari ipo iliyowekwa kwenye mafuta ya kuendeshea jenereta? Kwa hili, natofautiana na aliyekuja na wazo na uamuzi huu