TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
kama mmechoka sisi tufanyaje?
Rtz,
Shikamoo Mkuu. Nimekuona leo Karimjee kwenye foleni ya kumuaga Jeremia Sumari!
kama mmechoka sisi tufanyaje?
hivi chama chenu hakina vazi la mazishi? Mana kwenye harusi, kitchen part,vikao kila mahali hadi mazishini mnavaa bendera, kulikoni?kama mmechoka sisi tufanyaje?
kwa hiyo??Rtz,Shikamoo Mkuu. Nimekuona leo Karimjee kwenye foleni ya kumuaga Jeremia Sumari!
mungu yupi anabariki wezi na wanyang'anyi?alichokibariki mungu mwanadamu hawezi kukilaani. Viva sana el.
kwa hiyo??
kama mmechoka sisi tufanyaje?
mlikuwa mnaaga maiti !? Daaah! Nyie hamnazo kweli !Rtz,
Shikamoo Mkuu. Nimekuona leo Karimjee kwenye foleni ya kumuaga Jeremia Sumari!
Tumechoka na mipango mbalimbali inayofanywa kwa lengo la kumsafisha waziri mkuu mjiuzulu Edward Lowassa!
Hivi ni sababu zipi za msingi za kumsafisha Lowassa ambaye tayari ameshachafuka wakati kuna watu wengi tu wenye sifa za kushika hizi nyadhifa ambazo Lowassa anang'ang'aniziwa? CCM wanamuita gamba, CHADEMA wanamuita fisadi! Je, sisi raia wa kawaida kwa nini tunamng'ang'ania Lowassa? Hivi watanzania kiongozi lazima awe anahonga watu pesa na vijizawadi ndo achaguliwe? Lowassa amekuwa mzigo, hatufai! Siyo lazima Lowassa awe rais wa Watanzania! Wanamsafisha Lowassa wafikirie mara mbili mbili!
Naweka jamvini..!!
Sema umechoka wewe! Umma wa watanzania unamhitaji sana Lowassa.
MPONOELO, umma wa watanzania upi unaomuhitaji Lowassa? Na wanamuhitaji kwa lipi?
Sema umechoka wewe! Umma wa watanzania unamhitaji sana Lowassa.
Shine kuna watu humu wanatafuta laana za vizazi vijavyo na vilivyopo hivi sasa because katika miaka mitano ijayo PESA haitakua kila kitu manake wasomi watakua wa kumwaga na huo upuuzi ndio utakua TASK yao ya kwanza , Bob Marley mwenyewe aliwahi kusema U CAN FOOL SOME PPLE SOME TIME BUT U CAN'T FOOL ALL THE PPLE ALL THE TIME!
Watanzania tuliobahatika kutambua uozo na upuuzi wa hawa mafisadi tutahakikisha hata wale wasiojua wanajua na kuelewa hata kama ni kwa kutumia vipaza sauti poa tu kheri kuonekana mwendawazimu kuliko kuongozwa na mwizi anaekuibia mchana na usiku huku baadhi yetu WAKIMLAMBA MAKALIO FOR THE SAKE OF MONEY!!!!!.....................By the way hizo hela anazotoa ni kodi zetu wenyewe na nyingine ndio hizo za malipo ya Dowans endeleeni kuchekelea vijisenti vyenu wenyewe mwisho mnafanywa kama wase..........!!