JACADUOGO2.
JF-Expert Member
- Dec 13, 2010
- 930
- 217
Tumechoka na mipango mbalimbali inayofanywa kwa lengo la kumsafisha waziri mkuu mjiuzulu Edward Lowassa!
Hivi ni sababu zipi za msingi za kumsafisha Lowassa ambaye tayari ameshachafuka wakati kuna watu wengi tu wenye sifa za kushika hizi nyadhifa ambazo Lowassa anang'ang'aniziwa? CCM wanamuita gamba, CHADEMA wanamuita fisadi! Je, sisi raia wa kawaida kwa nini tunamng'ang'ania Lowassa? Hivi watanzania kiongozi lazima awe anahonga watu pesa na vijizawadi ndo achaguliwe? Lowassa amekuwa mzigo, hatufai! Siyo lazima Lowassa awe rais wa Watanzania! Wanamsafisha Lowassa wafikirie mara mbili mbili!
Naweka jamvini..!!
Hivi ni sababu zipi za msingi za kumsafisha Lowassa ambaye tayari ameshachafuka wakati kuna watu wengi tu wenye sifa za kushika hizi nyadhifa ambazo Lowassa anang'ang'aniziwa? CCM wanamuita gamba, CHADEMA wanamuita fisadi! Je, sisi raia wa kawaida kwa nini tunamng'ang'ania Lowassa? Hivi watanzania kiongozi lazima awe anahonga watu pesa na vijizawadi ndo achaguliwe? Lowassa amekuwa mzigo, hatufai! Siyo lazima Lowassa awe rais wa Watanzania! Wanamsafisha Lowassa wafikirie mara mbili mbili!
Naweka jamvini..!!