De Kriging
Member
- Feb 7, 2019
- 56
- 30
Tunawaita mabeberuTutajie tusi hata moja alilotukana nchi yetu
Tunawaita mabeberuTutajie tusi hata moja alilotukana nchi yetu
Hayo matunda ni matokeo ya ubishi wa jiwe na genge lake la lumumbaTundu Lissu akiwa huko Ulaya na Marekani ameichafua sana na kuitukana sana nchi yetu na uongozi wake na baadhi ya wafuasi wake wakishangilia na ku support mikutano hiyo.
Maongezi aliyoyafanya Mhe Tundu Lissu lazima tu yazae matunda na wapo wataofaidi na pia ambao hawatafaidi mikutano hiyo.
Hongereni wale mnao anza kula matunda ya mikutano hiyo maana ilikuwa mikutano muhimu sana kwenu.
Wewe dogo Unaishi maisha magumu sana kutisha tisha watu humu mitandaoni tafuta kazi ya kufanya ili ujinga ukutokeDo that hakuna shida ...tunasuburi tusikie hizo hotuba kwenye CD na hizo ring tone zenu
Tuambie tusi moja alilotukana nchi nalingine moja alilotukana uongozi!! Msiwe na akili mgando kwani kueleza mapungufu ya MTU ni kumtukana?? Huyo kiongozi wenu ni malaika kwamba asitolewe kasoro? Kama hataki kukosolewa akafanye mambo yake binafsi hizi kazi za watu lazima usemwe hata Trump pamoja nanguvu kubwa za kijeshi anasemwa haswaa mbona hatusikii ikilalamikiwa marekani inatukanwa? Nchi sio MTU wala akili zamtu au kakikundi chawatu haziwezi kuwakilisha nchi.Akili zenu ndogo sana maana hata Zuma alikosolewa mmno lkn wawekezaji south afrika kamakawa na uchumi ukaenda. Acheni ujuha hali inapozidi kuwambaya nimuhimu mataifa yajue hatuwezi vumilia mambo yasiyofaa eti kisa mnamhanya mfufulani.Tundu Lissu akiwa huko Ulaya na Marekani ameichafua sana na kuitukana sana nchi yetu na uongozi wake na baadhi ya wafuasi wake wakishangilia na ku support mikutano hiyo.
Maongezi aliyoyafanya Mhe Tundu Lissu lazima tu yazae matunda na wapo wataofaidi na pia ambao hawatafaidi mikutano hiyo.
Hongereni wale mnao anza kula matunda ya mikutano hiyo maana ilikuwa mikutano muhimu sana kwenu.
ndivyo anavyokudanganya Lissu ili ateke akili yako na uendelee kumsapoti kuwa haitukani nchi.Tofautisha Serikali na Taifa wewe, ni vitu viwili tofauti. Serikali inapigiwa kura na kuondolewa madarakani na Serikali nyingine kuingia madarakani lakini Taifa linabaki lile lile whether kuna Serikali A, B au C.
roho kweli inakuuma na huyo Lissu wako aisee mpaka na matusi juu tukisema nyie ni watu wa matusi huwa mnabisha sasa angalia comment yako kuna tofauti gani na huyo Boss wako Lissu kwa matusiKila siku unajaza nyuzi za tundu Lissu km kakutafunia mamayako hayo ni mambo yenu binafsi.
Usichoshe kuweka uzi humu kanunue kurasa wa mbele wa Tanzaniite ulalamike.
Sent using Jamii Forums mobile app
ndivyo anavyokudanganya Lissu ili ateke akili yako na uendelee kumsapoti kuwa haitukani nchi.
Mshana Jr unaheshimika sana humu ndani kwa mada zako na michango yako.......Lissu anaichafua nchi yetu ya Tanzania kimataifa kwa kuongea uwongo ....hao 400 waliouwawa huko LIndi kwa mujibu wa Lissu inawezekana vipi halafu ndugu zao na viongozi wao huko Lindi wako kimya tu na wanaendelea na shughuli zao kama kawaida inakuingia akilini kabisa?Nijuavyo kisafi ndio kinachafuliwa... Kichafu hakiwezi kuchafuliwa tena... Between nashindwa kuelewa TL anaichafuaje nchi
Jr
Sasa ulitaka hao ndugu zao wachukue bunduki waingie msituni?Mshana Jr unaheshimika sana humu ndani kwa mada zako na michango yako.......Lissu anaichafua nchi yetu ya Tanzania kimataifa kwa kuongea uwongo ....hao 400 waliouwawa huko LIndi kwa mujibu wa Lissu inawezekana vipi halafu ndugu zao na viongozi wao huko Lindi wako kimya tu na wanaendelea na shughuli zao kama kawaida inakuingia akilini kabisa?
hakuna kazi za kufanya na simu zao na laptop zao wana relax mind zao......ukitaka kujua kama wako serious waambie kesho tukutane pale mnazi mmoja asubuhi tufanye rall ya kwenda Ikulu kutoa malalamiko yetu kama utamuona hata mmoja....?Komenti za wakuu zinaonesha wananchi walivyochoka upuuzi na nchi ipo katika hali gani!Hatari sana.
Huyu atakuwa hayuko sawa kichwani , eti kuitukana inchiTundu Lissu akiwa huko Ulaya na Marekani ameichafua sana na kuitukana sana nchi yetu na uongozi wake na baadhi ya wafuasi wake wakishangilia na ku support mikutano hiyo.
Maongezi aliyoyafanya Mhe Tundu Lissu lazima tu yazae matunda na wapo wataofaidi na pia ambao hawatafaidi mikutano hiyo.
Hongereni wale mnao anza kula matunda ya mikutano hiyo maana ilikuwa mikutano muhimu sana kwenu.
Tanzania ni donor country ndio maana tumegoma kuimport condoms, sasa tutatumia makaratasi ya nylon yanayotengenezwa hapahapa nchiniTundu Lissu akiwa huko Ulaya na Marekani ameichafua sana na kuitukana sana nchi yetu na uongozi wake na baadhi ya wafuasi wake wakishangilia na ku support mikutano hiyo.
Maongezi aliyoyafanya Mhe Tundu Lissu lazima tu yazae matunda na wapo wataofaidi na pia ambao hawatafaidi mikutano hiyo.
Hongereni wale mnao anza kula matunda ya mikutano hiyo maana ilikuwa mikutano muhimu sana kwenu.
kutishiwa na hisia zako tu hakuna kitu kama hicho....ila asambaze tu hizo CD za Tundu Lissu mchana kweupe anakaribishwa......Wewe dogo Unaishi maisha magumu sana kutisha tisha watu humu mitandaoni tafuta kazi ya kufanya ili ujinga ukutoke
Sent using Jamii Forums mobile app
Tundu Lissu kaitukana nchi yetu kasemaje?Tundu Lissu akiwa huko Ulaya na Marekani ameichafua sana na kuitukana sana nchi yetu na uongozi wake na baadhi ya wafuasi wake wakishangilia na ku support mikutano hiyo.
Maongezi aliyoyafanya Mhe Tundu Lissu lazima tu yazae matunda na wapo wataofaidi na pia ambao hawatafaidi mikutano hiyo.
Hongereni wale mnao anza kula matunda ya mikutano hiyo maana ilikuwa mikutano muhimu sana kwenu.