Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,102
- 2,717
Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Wewe ni chawa mpumbavu! Hata wenye chama chao wanafahamu hivyo!Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.
Kama Mbowe ameangukia pua Uchsguzi uliopita,siyo kosa la Tume,kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Wewe ni KUPE mjinga usiyejitambua uko wapi ila mradi umenasa kwenye ngozi unafaidi mabilioni ya GAIDI Mbowe. Wewe una mchango gani CHADEMA zaidi ya kuwa KUPEWewe ni chawa mpumbavu! Hata wenye chama chao wanafahamu hivyo!
Ndio umejenga hoja au umeandika utumbo? Inaonekana kwenu wewe ndio kuchwa, saaa sipati picha hao wengineKwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.
Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Hoja yake ni kwa nini Mbowe alitangazwa na Tume isiyo huru na akakubali kuwa Mbunge.Ndio umejenga hoja au umeandika utumbo? Inaonekana kwenu wewe ndio kuchwa, saaa sipati picha hao wengine
Photo shopping at bestHivi huoni hata aibu?
Uhuru wa tume yenu hiyo ndio kuingiza mabunda ya kura kwenye sanduku?
SMH.
View attachment 2494323
Pole sana na hii vipi.?Photo shopping at best
Unachohofia nini kama iliyopo ikibadilishwa? Na bado, mtabwabwaja sana!!!!Kwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.
Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Photoshop hiyoo,Hivi huoni hata aibu?
Uhuru wa tume yenu hiyo ndio kuingiza mabunda ya kura kwenye sanduku?
SMH.
View attachment 2494323
Achana na huyo mmb..wa, hajitambui. Anawaza uchawa tuMwenye nchi mama Samia keshasema swala la tume huru ya uchaguzi linafanyiwa kazi.Wewe Ni Nani nchi hii hata
Ukatae.Ndio maana una Jina linaitwa poppy.
Hiyo ni Picha tuu. Unaweza dai lolote vile.Pole sana na hii vipi.?View attachment 2494352
Hiyo ni Picha tuu. Unaweza dai lolote vile.
Hao ni walinzi wa masanduku ya Kura.
Mwenye hofu ni CHADEMA, mwenye mabilioni anataka aka 'retire' kuna ugumu wa kupata visusio CHADEMA bila dolaUnachohofia nini kama iliyopo ikibadilishwa? Na bado, mtabwabwaja sana!!!!
Save the pity to your Boss.×<MEDIA>@https://www.jamiiforums.com
Walinzi wakashindwa kuzuia upuuzi kama huu?
You should be ashamed of yourself.
Shenzy kabisa unamaliza Oxygen ya BureKwa sababu Mbowe alikuwa kiongozi wa Upinzani Bungeni kwa muda mrefu kwa kutegemea hiyo hiyo Tume anayosema siyo huru.
Kama Mbowe ameangukia pua Uchaguzi uliopita, siyo kosa la Tume kwa sababu Tume ilikwishathibitisha kwamba inaweza kufanya kazi efficiently.
Mwehu wewe utaishia kulamba kinyesi cha hao wafuga chawa! Mjane wa shetani lazima apaniki kama wewe lakini ndiyo hivyo hatamuona tena na sasa hivi ni kuni za kuzimu!Wewe ni KUPE mjinga usiyejitambua uko wapi ila mradi umenasa kwenye ngozi unafaidi mabilioni ya GAIDI Mbowe. Wewe una mchango gani CHADEMA zaidi ya kuwa KUPE