Chuo cha usimamizi wa fedha (ifm) kupitia tume ya uchaguzi imemtangaza bwana Clinton kuwa rasi mpya wa wanafunzi sambamba na makamu wake Maro maro kwa mwaka 2014/2015. Hivyo kuapishwa rasmi siku ya jumatatu tarehe 09/05/2014 maeneo ya ifm. Kwa pamoja tumpe pongezi na kumtakia kila la heri katika kuwaongoza wanafunzi kwa hekima na busara ili kutatua vikwazo vinavyowakumba wanafunzi vyuoni.