Tumchokonoe mpaka atapike yote

Tumchokonoe mpaka atapike yote

Today is my born day! happy born day to me Jr™
Sisi ni wachokonozi kwa maana ya kutaka kujua tu yale yaliyofanyika sirini yawekwe hadharani... Lakini ndani ya chama chao wako wachokonozi wanaotaka majipu yatumbuliwe na usaha wa akina ponjoro uwachafue wote
Ponjoro hayuko pekeyake na hatakubali kukaa kimya... Wameshamchokonoa elimu yake, hawatsishia hapo.. Watachokonoa kila kitu.. Case study ya bashite!

Kina Sendeka wanapoongea kwa uwazi vile ujue fukuto la huko ndani limakaribia nyuzi 1000
Sasa June hii wachokonozi wataongezeka mara dufu na wengi kati yao watatoka kwao
Majipu yamezidi sana.. Yasipotumbuliwa.. Yatavia na kuota kwingine kubaya zaidi

Hiyo ndio shida ya jipu.. Ukishindwa kulipasua linapotea na kuibuka kwingine. Hofu ni kwamba mtumbuaji anaweza asitumie ganzi
Happy birth day kamanda
 
Hata usihofu mkuu. Kuna siku uliniambia humu jukwaani😂 kuna thread fulani ya UDOM, ndiyo tukapiga mastory hivo yaani
 
Huyu jamaa nitakuja na simulizi yangu kwake muda utakapotimia
Kwenye Hilo la utekaji, “ Roma mkatoliki” angekuwa source of very reliable information kwani anawajua Bashite na wengine waliomteka!
After all wherever he is he is under protection hakuna wa kumdhuru!
 
Kwenye Hilo la utekaji, “ Roma mkatoliki” angekuwa source of very reliable information kwani anawajua Bashite na wengine waliomteka!
After all wherever he is he is under protection hakuna wa kumdhuru!
Roma angekuwa under protection bc angebaki bongo kuishi Ila yupo USA jiulize kwann?
Yule sativa nae hayupo bongo Ndo mana anaujasiri wa kutukana watu vile, kwahy nae yupo under protection?
 
Back
Top Bottom