Kuna wale walio tekwa na hatujui walipo watuambie wamewapeleka wapi? Ili hata maiti zao zizikwe na mdugu hata watoto angalau walione kaburiMe nataka Samia atoke tu hadharani atuambie Nani anateka na kuua Watanzania na anawachukulia hatua gani?
Kuna wale walio tekwa na hatujui walipo watuambie wamewapeleka wapi? Ili hata maiti zao zizikwe na mdugu hata watoto angalau walione kaburiMe nataka Samia atoke tu hadharani atuambie Nani anateka na kuua Watanzania na anawachukulia hatua gani?
Automatically ukiwa upande wa haki unaonekana kama chademaMkuu, japokuwa watu wengi humu wananiona mm n ccm Ila sio kweli.
Mm sio ccm wala sio chadema, mm nasimama kwenye haki.
Tuko pamojaaa mkuu wa kazii😄Natumia hiyo kitu mda tu
Sure bro mimi ni kazi skanka na kimea kwa mbali , pia jali familia na haki , furaha iwepo mda wote bila kujali hali iliyopoTuko pamojaaa mkuu wa kazii😄
😂 Dah 🙌Automatically ukiwa upande wa haki unaonekana kama chadema
🙏🏿🙏🏿🙏🏿Asante sana mkuu wanguHappy birthday kaka ,nafurahi kuona watu ninaowakubali mnaendelea kuishi .
Fikisha salamu zangu kwa kaka Bujibuji Simba Nyamaume mwambie si muda naoa na yule regina ndiye bibi harusi mtarajiwa .
Tunaishia kwenyee misingi hyo mkuu wangu 🙏Sure bro mimi ni kazi skanka na kimea kwa mbali , pia jali familia na haki , furaha iwepo mda wote bila kujali hali iliyopo
Sure master , one love✊️Tunaishia kwenyee misingi hyo mkuu wangu 🙏
Inapendeza sanaMkuu, japokuwa watu wengi humu wananiona mm n ccm Ila sio kweli.
Mm sio ccm wala sio chadema, mm nasimama kwenye haki.
Sure bro, na hata upande wa chadema tuliwashuhudia njaa 55😂 Dah 🙌
N kweli ila mm sitaki kuwa upande wowote ule zaidi ya upande wa haki mana Najua hata huko ccm kuna ambao wanatamani haki ipatikane kama ilivyo kwa Gwajima sasa.
Ponjoro wa Kinondoni kautaka mwenyewe.Today is my born day! happy born day to me Jr™
Sisi ni wachokonozi kwa maana ya kutaka kujua tu yale yaliyofanyika sirini yawekwe hadharani... Lakini ndani ya chama chao wako wachokonozi wanaotaka majipu yatumbuliwe na usaha wa akina ponjoro uwachafue wote
Ponjoro hayuko pekeyake na hatakubali kukaa kimya... Wameshamchokonoa elimu yake, hawatsishia hapo.. Watachokonoa kila kitu.. Case study ya bashite!
Kina Sendeka wanapoongea kwa uwazi vile ujue fukuto la huko ndani limakaribia nyuzi 1000
Sasa June hii wachokonozi wataongezeka mara dufu na wengi kati yao watatoka kwao
Majipu yamezidi sana.. Yasipotumbuliwa.. Yatavia na kuota kwingine kubaya zaidi
Hiyo ndio shida ya jipu.. Ukishindwa kulipasua linapotea na kuibuka kwingine. Hofu ni kwamba mtumbuaji anaweza asitumie ganzi
www.facebook.com
Hata MimiMkuu, japokuwa watu wengi humu wananiona mm n ccm Ila sio kweli.
Mm sio ccm wala sio chadema, mm nasimama kwenye haki.