Tumchokonoe mpaka atapike yote

Tumchokonoe mpaka atapike yote

Kundini kwa watetezi wa haki, demokrasia na Tanzania yenye kuheshimu utu na uhai wa raia wote
🤝

Siku zote natetea haki, ila mm siipendi demokrasia, naheshimu watu wote.
 
CCM wajanja sana aisee; nyumbu wooooote Sasa kwa Gwajima.....wamesahau mpaka terehe ya mahakamani ya bwana wao lissu na uchiba wake.

Ukifika mwezi September au Oktoba utamsikia Samia pale Kawe, kama JPM, "Nileteeni Gwajimaaaaa!". Kama inavyotarajiwa, nyumbu watageukia tena kauli huko na kumsahau chiba wao tena......watamrejea tena kumpa pole baada ya kutangazwa kura zake za 2%.
 
CCM wajanja sana aisee; nyumbu wooooote Sasa kwa Gwajima.....wamesahau mpaka terehe ya mahakamani ya bwana wao lissu na uchiba wake.

Ukifika mwezi September au Oktoba utamsikia Samia pale Kawe, kama JPM, "Nileteeni Gwajimaaaaa!". Kama inavyotarajiwa, nyumbu watageukia tena kauli huko na kumsahau chiba wao tena......watamrejea tena kumpa pole baada ya kutangazwa kura zake za 2%.
 
Back
Top Bottom