Tumchokonoe mpaka atapike yote

Tumchokonoe mpaka atapike yote

Today is my born day! happy born day to me Jr™
Sisi ni wachokonozi kwa maana ya kutaka kujua tu yale yaliyofanyika sirini yawekwe hadharani... Lakini ndani ya chama chao wako wachokonozi wanaotaka majipu yatumbuliwe na usaha wa akina ponjoro uwachafue wote
Ponjoro hayuko pekeyake na hatakubali kukaa kimya... Wameshamchokonoa elimu yake, hawatsishia hapo.. Watachokonoa kila kitu.. Case study ya bashite!
Kina Sendeka wanapoongea kwa uwazi vile ujue fukuto la huko ndani limakaribia nyuzi 1000
Sasa June hii wachokonozi wataongezeka mara dufu na wengi kati yao watatoka kwao
Majipu yamezidi sana.. Yasipotumbuliwa.. Yatavia na kuota kwingine kubaya zaidi

Hiyo ndio shida ya jipu.. Ukishindwa kulipasua linapotea na kuibuka kwingine. Hofu ni kwamba mtumbuaji anaweza asitumie ganzi
Happy Birthday Mkuu!
 
Today is my born day! happy born day to me Jr™
Sisi ni wachokonozi kwa maana ya kutaka kujua tu yale yaliyofanyika sirini yawekwe hadharani... Lakini ndani ya chama chao wako wachokonozi wanaotaka majipu yatumbuliwe na usaha wa akina ponjoro uwachafue wote
Ponjoro hayuko pekeyake na hatakubali kukaa kimya... Wameshamchokonoa elimu yake, hawatsishia hapo.. Watachokonoa kila kitu.. Case study ya bashite!
Kina Sendeka wanapoongea kwa uwazi vile ujue fukuto la huko ndani limakaribia nyuzi 1000
Sasa June hii wachokonozi wataongezeka mara dufu na wengi kati yao watatoka kwao
Majipu yamezidi sana.. Yasipotumbuliwa.. Yatavia na kuota kwingine kubaya zaidi

Hiyo ndio shida ya jipu.. Ukishindwa kulipasua linapotea na kuibuka kwingine. Hofu ni kwamba mtumbuaji anaweza asitumie ganzi
Hapoy birthday legendari
 
Bahati nzuri ilisisitizwa kuwa tuna awamu tofauti awamu iliyopita na awamu iliyofuata...! lengo lilikuwa jema kutenga yale yaliyotokea awamu iliyopita na yale yaliyotokea awamu iliyofuata. Sasa kama awamu iliyopita ilisemwa ndiyo ilikuwa inafanya yale...iweje awamu iliyofuata ifanye yale ya awamu ile na kuzidisha? Au kuna kiungo kwenye hizi awamu mbili kinachojaribu kuchafua awamu zote?

majibu tafadhali mleta mada na wadau wengine.
 
Heri ya mfanano wa siku ya kuzaliwa Mzee wa kilinge mwenye madini ya kutosha. Mungu akutunze sana
 
Acha uongo huwezi tenganisha ccm na utekaji ubakaji na uuaji kisa tumbo ulianza kitambo
 
Dah kuna mda nikiwakumbuka waliotekwa na kumalizwa napatwa huzuni sana, vipi ingekuwa ni mimi vipi wangekuwa ndugu zangu wa karibu, aendelee kuchokonolewa atayatema tu.

Lecturer mmoja aliingia darasani, akamwambia mwanafunzi mmoja "toka nje sitaki kukuona darasani", akaanza kujitetea kuwa hajafanya kosa lolote, lecturer akasisitiza atoke nje. Kisha lecturer akaanza somo kwa kuuliza "sheria ni nini?", mwanafunzi mmoja akajibu ni taratibu za nchi, mwingine akasema ni taratibu za kusimamia haki

Lecturer akasema wote mnaweza kuwa sawa lakini nani mwenye jukumu la kutetea haki na sheria, wakajibu "serikali","wanaharakati","vyombo vya dola" mwingine akasema "kila mtu". Lecturer akasema uko sahihi ni jukumu la kila mtu lakini kwanini hamjamtetea mwenzenu nilipomtoa darasani mlikaa kimya, ni kwasababu halikuwakuta nyie hili jambo.

Tunaweza kupuuzia haki za watu zinaponyang'anywa kwasababu tunaona halituhusu ukweli ni kuwa wote tupo katika njia moja, tushirikiane kuleta haki.
 
Dah kuna mda nikiwakumbuka waliotekwa na kumalizwa napatwa huzuni sana, vipi ingekuwa ni mimi vipi wangekuwa ndugu zangu wa karibu, aendelee kuchokonolewa atayatema tu.

Lecturer mmoja aliingia darasani, akamwambia mwanafunzi mmoja "toka nje sitaki kukuona darasani", akaanza kujitetea kuwa hajafanya kosa lolote, lecturer akasisitiza atoke nje. Kisha lecturer akaanza somo kwa kuuliza "sheria ni nini?", mwanafunzi mmoja akajibu ni taratibu za nchi, mwingine akasema ni taratibu za kusimamia haki

Lecturer akasema wote mnaweza kuwa sawa lakini nani mwenye jukumu la kutetea haki na sheria, wakajibu "serikali","wanaharakati","vyombo vya dola" mwingine akasema "kila mtu". Lecturer akasema uko sahihi ni jukumu la kila mtu lakini kwanini hamjamtetea mwenzenu nilipomtoa darasani mlikaa kimya, ni kwasababu halikuwakuta nyie hili jambo.

Tunaweza kupuuzia haki za watu zinaponyang'anywa kwasababu tunaona halituhusu ukweli ni kuwa wote tupo katika njia moja, tushirikiane kuleta haki.
Tunaweza kupuuzia haki za watu zinaponyang'anywa kwasababu tunaona halituhusu ukweli ni kuwa wote tupo katika njia moja, tushirikiane kuleta haki.🙏🏿🙏🏿🙏🏿👌🏿
 
Sure bro, na hata upande wa chadema tuliwashuhudia njaa 55
Yah mkuu, kila upande una faida na hasara zake.
Hakuna chama ambacho kipo perfect 100% kwa jamii n bc tuu wengine bado hawajashika dola hvy hatuwezi kuwajua vzr tabia zao
 
Back
Top Bottom