Tumchambue Rostam Aziz, ni mjamaa mwana CCM kweli?

Tumchambue Rostam Aziz, ni mjamaa mwana CCM kweli?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
17,547
Reaction score
28,494
1754374147882.png

Billionea Rostam Aziz 'kada' wa CCM

Moja ya misingi ya Imani ya mwana CCM ni kwamba :
  1. Binadamu wote ni sawa
  2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
  3. jamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru

Pamoja na Imani hizi ambazo ni za kimsingi kabisa kibinadamu na ki utu, bado kuna Ahadi za mwana CCM.
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Imetolewa na : Chama Cha Mapinduzi - CCM

Sasa hebu kwa vigezo hivyo tuipime CCM ya leo na tumpime Rostam Aziz.
Tukumbuke Rostama Azizi ni Bilionea mkubwa si Tanzania tu, bali Afrika mashariki na Afrika.

Kwake huyu Ujamaa ni tusi.
Na tujiulize kati ya Rostam Aziz na Humphrey Polepole, utamwamini nani hata kama humpendi.
 
Nadhani kwa sasa wana CCM wengi na hata viongozi wa CCM wameamua kupuuza misingi na ahadi za mwanaccm kama kawaida nadhani wanaamini hayo ni maneno tu kama maneno mengine, na kilichobeka hayo ni kijitabu kama vijitabu vengine
 
View attachment 3431975
Billionea Rostam Aziz 'kada' wa CCM

Moja ya misingi ya Imani ya mwana CCM ni kwamba :
  1. Binadamu wote ni sawa
  2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
  3. jamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru

Pamoja na Imani hizi ambazo ni za kimsingi kabisa kibinadamu na ki utu, bado kuna Ahadi za mwana CCM.
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Imetolewa na : Chama Cha Mapinduzi - CCM

Sasa hebu kwa vigezo hivyo tuipime CCM ya leo na tumpime Rostam Aziz.
Tukumbuke Rostama Azizi ni Bilionea mkubwa si Tanzania tu, bali Afrika mashariki na Afrika.

Kwake huyu Ujamaa ni tusi.
Na tujiulize kati ya Rostam Aziz na Humphrey Polepole, utamwamini nani hata kama humpendi.
Polepole ni Mnafiki, Ndukilakuwili.
Akipewa madaraka anasifia Kiongozi aliyempa, akipokwa madaraka anamponda Kiongozi.
Kwa ujumla Polepole ni mtaka fursa, mtaka sifa na mbinafsi mno
 
View attachment 3431975
Billionea Rostam Aziz 'kada' wa CCM

Moja ya misingi ya Imani ya mwana CCM ni kwamba :
  1. Binadamu wote ni sawa
  2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
  3. jamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru

Pamoja na Imani hizi ambazo ni za kimsingi kabisa kibinadamu na ki utu, bado kuna Ahadi za mwana CCM.
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Imetolewa na : Chama Cha Mapinduzi - CCM

Sasa hebu kwa vigezo hivyo tuipime CCM ya leo na tumpime Rostam Aziz.
Tukumbuke Rostama Azizi ni Bilionea mkubwa si Tanzania tu, bali Afrika mashariki na Afrika.

Kwake huyu Ujamaa ni tusi.
Na tujiulize kati ya Rostam Aziz na Humphrey Polepole, utamwamini nani hata kama humpendi.
Rostam huwa anaichangia serikali refer during COVID-19
 
Mijadala mingine ni ya kihayawani kabisa..mtu na akili zako timamu huhitaji kumlinganisha rostam kwa jema lolote Tanzania, wakat mwingine hata kutaja tu jina rostam unasikia kichefu chefu..!
 
Mimi ni mjamaa siyo wa kuchovya; huwezi kumfananisha Polepole na Rostam. Polepole ni kafisadi flan ambako utakajua ukikipa power ya kufanya maamuzi. Rostam ni bilionea mzalendo anayesaidia serikali na nchi yake katika nyakati ngumu.

Huyu Polepole alipewa power kidogo alitukana hadi wananchi akiwauliza Vietiii unaijua wewe? Halafu hawa wanaojita wajamaa waliopata power sitaki kuwasikia. Wanahubiri uadilifu kumbe wezi, wajivuni na sifa mbovu zote. Nilishawahi kuwa nao karibu baadhi yao.
 

Attachments

  • v81.JPG
    v81.JPG
    32.1 KB · Views: 19
  • IMG-20250713-WA0035.jpg
    IMG-20250713-WA0035.jpg
    665.8 KB · Views: 20
Mimi ni mjamaa siyo wa kuchovya; huwezi kumfananisha Polepole na Rostam. Polepole ni kafisadi flan ambako utakajua ukikipa power ya kufanya maamuzi. Rostam ni bilionea mzalendo anayesaidia serikali na nchi yake katika nyakati ngumu.

Huyu Polepole alipewa power kidogo alitukana hadi wananchi akiwauliza Vietiii unaijua wewe? Halafu hawa wanaojita wajamaa waliopata power sitaki kuwasikia. Wanahubiri uadilifu kumbe wezi, wajivuni na sifa mbovu zote. Nilishawahi kuwa nao karibu baadhi yao.
Kutamba baada ya kupanda Viieitee kwa mara ya kwanza lazima ujue ni kaushamba fulani.
Lakini si amezinduka?
 
Mijadala mingine ni ya kihayawani kabisa..mtu na akili zako timamu huhitaji kumlinganisha rostam kwa jema lolote Tanzania, wakat mwingine hata kutaja tu jina rostam unasikia kichefu chefu..!
Mkuu binadamu wote ni sawa.
Rostam ni mjamaa au si mjamaa.
Lakini cha ajabu eti ni kada wa CCM.
 
View attachment 3431975
Billionea Rostam Aziz 'kada' wa CCM

Moja ya misingi ya Imani ya mwana CCM ni kwamba :
  1. Binadamu wote ni sawa
  2. Kila mtu anastahili heshima ya kutambuliwa na kuthaminiwa utu wake
  3. jamaa na kujitegemea ndiyo njia pekee ya kujenga jamii ya watu walio sawa na huru

Pamoja na Imani hizi ambazo ni za kimsingi kabisa kibinadamu na ki utu, bado kuna Ahadi za mwana CCM.
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI


(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma.
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa.
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu.
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote.
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu.
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko.
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika.

Imetolewa na : Chama Cha Mapinduzi - CCM

Sasa hebu kwa vigezo hivyo tuipime CCM ya leo na tumpime Rostam Aziz.
Tukumbuke Rostama Azizi ni Bilionea mkubwa si Tanzania tu, bali Afrika mashariki na Afrika.

Kwake huyu Ujamaa ni tusi.
Na tujiulize kati ya Rostam Aziz na Humphrey Polepole, utamwamini nani hata kama humpendi.
Mfanya BIASHARA yoyote wa caliber ya Rostam, siasa , kuwa karibu na watawala,, ni fursa,,kwa kufanya hivyo himaya yake lazima itamalaki,,lazima apate fursa mpya, hakuna lingine zaidi ya hilo==in other words mfanyabiashara huku kwetu Africa ukijitenda na WATAWALA ILI UTOBOE NI KAMA NGAMIA KUPENYA KWA TUNDU LA SINDANO alisikika akisema bwana YESU
 
Mfanya BIASHARA yoyote wa caliber ya Rostam, siasa , kuwa karibu na watawala,, ni fursa,,kwa kufanya hivyo himaya yake lazima itamalaki,,lazima apate fursa mpya, hakuna lingine zaidi ya hilo==in other words mfanyabiashara huku kwetu Africa ukijitenda na WATAWALA ILI UTOBOE NI KAMA NGAMIA KUPENYA KWA TUNDU LA SINDANO alisikika akisema bwana YESU
Mfanyabiashara kuwa mjamaa ni miujiza!
 
Back
Top Bottom