Equitable
JF-Expert Member
- Dec 24, 2021
- 2,010
- 5,449
Dr. Slaa, Mwabukusu ,Madeleka na Mdude wako wapi na kwanini?Leo nataka tukate mzizi wa fitna hapa
Umetoroka milembe na uchiz wako ukavamia maduka ukaiba vocha ukaona ukimbilie JfKama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu
Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?
Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!
Unataka uletewe hati!Uthibitisho, wapi uthibitisho, hivi mnaelewa kweli?
Uthibitisho vinginevyo ni uhaini tu
Ndo ushahidi wako huu?Tafuta watoto au ndugu waliosoma wakutafsirie. Idiot you
Acha longolongo weka uthibitishoUmetoroka milembe na uchiz wako ukavamia maduka ukaiba vocha ukaona ukimbilie Jf
Mtu mzima Chawa, watoto watakuwa viroboto sugu. IdiotNdo ushahidi wako huu?
Endeleza longolongo tuMtu mzima Chawa, watoto watakuwa viroboto sugu. Idiot
Longolongo unazo ww naliokutumaEndeleza longolongo tu
We ni kunguni mzee,huhitaji kupewa uthibitisho wowote mana huna msaada nao,wanaotakiwa kuambiwa ukweli ndo hao hawatak kusikia na tuliowatuma wakauseme ukweli wako ndani na kesi ya uhaini,ko we chakufanya kakojoe,unye, ujambe ulale in that orderAcha longolongo weka uthibitisho
Ulisoma historia ya ukoloni wa Tanganyika na Africa Kwa ujumla wewe? Ulielewa au ulikaririshwa?Kwa hiyo unakili wanaosema zimeuzwa ni wazandiki na waongo sio?
Hivi unajua maana ya Milele ?Kama kawaida yangu Lord Denning a.k.a kiboko ya wafiwa a.k.a kiboko wa ufipa fc na kiboko ya wapotoshaji leo nakuja kwenu wale mnaodai Rais ameuza Bandari zetu
Swali langu kwenu.
Upo wapi uthibitisho/ ushahidi wa Bandari zetu/ yetu kuuzwa?
Msisitizo: Sitaki longolongo , naombeni uthibitisho wa Bandari zetu kuuzwa!