Tumaini jipya kwako kijana (Ofisi ni miguu yako) ni mwendo wa kujiongeza kupambana na vyuma

Mima white cute

JF-Expert Member
Nov 24, 2017
740
1,305
Ni ngumu kupata ajira watu wote tukaajiliwa muda mwingine tunatakiwa tujiongeze na hakuna kitakachoshindikana Leo naomba nitoe tumaini jipya kwako ww kijana unayehangaika kuitafuta kazi bila mafanikio.

Ni hivi achana na elimu ya kujifunza darasani hivi ushafikilia Computer inaweza kukupa ajira ukajiajiri bila kuwa tegemezi.kama tunavyoelewa technolojia inavyozidi kukuwa na mambo yanazidi kubadilika zamani tulizoea kusoma computer micro softword publisher power point excel na zingine lakini wazungu hawajatuacha nyuma wakatuongezea na nyingine kuna adobe illustractor Photoshop page maker na nyingine nyingi nisiende mbali niishie hapo kwenye hizo tu.

Poteza muda wako wa miezi mitatu kama kichwa chako chepesi utaelewa nenda kasome illustractor na Photoshop zipo nyingi bila nimeona niongelee hizi mbili jifunze jinsi ya kutumia hizo maana hutafundishwa kufanya kazi isipokuwa ukizijua ndio akili yako utaiongeza na kuweza kufanya vitu vilivyo bora katika kazi zako.Katika kitu ambacho hamjakifahamu ni hivi mambo ya printing yana kazi nyingiii sanaaaa Tena sana kuanzia kwenye viwanda mashuleni na maofisini inshort kila kona.

JINSI YA KUJIAJIRI.
Andaa kazi zako tengeneza logo Azako tofauti tofauti hakikisha usiige kwa MTU kuwa mbunifu baada ya hapo anza kuzunguka baadhi ya ofisi jielezee jitahidi uwe na lugha ya ushawishi lengo sio kwenda kuajiliwa lengo ni kutafuta kazi ya kile unachokifanya.unajua matokeo yake utakutana na hivi katika ofisi kazaa utakutana na hapo hivi tulikuwa na shida na lisiti labda hebu nitengenezee kitabu cha lisiti atakupa data baada ya kulizika na kazi zako na ukipokea kazi jitahidi kuwa mbunifu...baada ya hapo utatengeneza sample yako kimoja ukimuonesha anakupa kazi bila hapaara nyingi ukipata kazi usitegemee akupe yeye kabla ya kufikisha kazi ww utaangalia utaratibu wa kupata pesa hata kwa kuazima baada ya kufikisha kazi unachukua chako unarudisha pesa ya watu na faida yako unachukua.

Anza sasa KUJIAJIRI .

Ni mtazamo tu..muwe na jioni njema
 
Naomba hapo hapo ulipo kunywa kinywaji chohcote kwa bili yako... Nimependa hio ya kuachana na elimu ya darasani, imakufanya kuwa muoga, inakufanya kuwa mtumwa, unakua tegemezi huku ukiishi na "Daftari Dukani kwa Mangi"
 
Naomba hapo hapo ulipo kunywa kinywaji chohcote kwa bili yako... Nimependa hio ya kuachana na elimu ya darasani, imakufanya kuwa muoga, inakufanya kuwa mtumwa, unakua tegemezi huku ukiishi na "Daftari Dukani kwa Mangi"
Wewe bila shaka hujasoma
 
Daaahhh Kutoka Moyon mwangu niseme , mbali ya kukujua in and out , Kila siku mawazo nimapya na makubwa , sijui nisababu ndoto zako nikua "Malikia wa Impaya yako?" Sijui nisababu huitaji pesa za masimango ?? Sijui nisababu unaitaji kua Mwanamke aliyefaulu kusimama pekee ake ??.

Sijui , bado sijajua ,,Sijui nisababu ya IQ kubwa ulojaliwa kuhusiana na Maisha ???.

Aiseeee kwavyovyote vile bila kujalisha majibu ya maswali yangu ,niseme Mungu akupe Afya njema nakila siku kichwa chako kiwe chepesi linapokuja suala LA maisha nachangomoto zake !!.

Ulichokibeba kichwan mwako Ni Mtaji toshaaa ,kwako na kwawanadam wenzako , na we mwenyewe ni Mtaji sahihi kwamwanamme makini , sababu mawazo yako nidhahir nikwaajili ya kutatua changamoto ,ziwe za uchumi n.k !!.

Mimi binafsi maandiko yako nimeyapa 100% sababu tu ya Wazo lako kichwani ,, haijalish umeandika kuhusu makompyuta n.k ,, mimi nilichoangalia ni dhamira ya mawazo yako katika kuelekea maisha ya "Kujitegemea".
.

Shout out kwako ma "Muslim Girl"
 
Huwezi kumfudisha mtu mzima namna ya kutafuta pesa..kila mtu ana strategies zake za utafutaji.kwanza kwani hio elimu ya computer na utengenezaji wa logo sio elimu ya darasani??.pambana na hali yako ndugu
mm sijakulazimisha nimeamua kushea na nyinyi hapa watu wengi tu huwa wanaandika thread za kutafuta kazi huoniiii au unajitoa fahamu.

Ni hivi nimeamua kushare kwa mtazamo wangi kama unauhitaji ww pita mbali tuache wenye uhitaji.

Alafu ww nahisi utakuwa ndio shughur zako au unajua lolote kuhusu hizi inshu isipokuwa una roho mbaya hapo roho inakuuma unaona kama umezibiwa ridhiki utakuwa upati tenda kila MTU na ridhiki Zake tujifunze kushea mawazo.
 
Daaahhh Kutoka Moyon mwangu niseme , mbali ya kukujua in and out , Kila siku mawazo nimapya na makubwa , sijui nisababu ndoto zako nikua "Malikia wa Impaya yako?" Sijui nisababu huitaji pesa za masimango ?? Sijui nisababu unaitaji kua Mwanamke aliyefaulu kusimama pekee ake ??.

Sijui , bado sijajua ,,Sijui nisababu ya IQ kubwa ulojaliwa kuhusiana na Maisha ???.

Aiseeee kwavyovyote vile bila kujalisha majibu ya maswali yangu ,niseme Mungu akupe Afya njema nakila siku kichwa chako kiwe chepesi linapokuja suala LA maisha nachangomoto zake !!.

Ulichokibeba kichwan mwako Ni Mtaji toshaaa ,kwako na kwawanadam wenzako , na we mwenyewe ni Mtaji sahihi kwamwanamme makini , sababu mawazo yako nidhahir nikwaajili ya kutatua changamoto ,ziwe za uchumi n.k !!.

Mimi binafsi maandiko yako nimeyapa 100% sababu tu ya Wazo lako kichwani ,, haijalish umeandika kuhusu makompyuta n.k ,, mimi nilichoangalia ni dhamira ya mawazo yako katika kuelekea maisha ya "Kujitegemea".
.

Shout out kwako ma "Muslim Girl"
Thanx u so much.....amina inshaaaalaaah
 
Leo naona umapretend kuwa great thinker...! Tunaokujua ni small brain tu kama wenzio..
 
Hapo watakuelewa wachache aisee sababu vijana tulio wengi kujishughulisha kwetu ni jambo gumu. Tuko radhi tuhangaike na Vibahasha miaka nenda rudi ila kupambanua akili kwa mawazo mengine inakuwa ngumu.

Na kwa upande mwingine huwezi jua maisha ya mtu anayoishi unaweza kuta kijana hata hiyo ada ya kujilipia huko kwenye hivyo vishort course hana na inapotokea hivyo huwa hakuna jinsi zaidi kusubiri tu mpaka pale ajira itakapopatikana.
 
Hapo watakuelewa wachache aisee sababu vijana tulio wengi kujishughulisha kwetu ni jambo gumu.
Tuko radhi tuhangaike na Vibahasha miaka nenda rudi ila kupambanua akili kwa mawazo mengine inakuwa ngumu.

Na kwa upande mwingine huwezi jua maisha ya mtu anayoishi unaweza kuta kijana hata hiyo ada ya kujilipia huko kwenye hivyo vishort course hana na inapotokea hivyo huwa hakuna jinsi zaidi kusubiri tu mpaka pale ajira itakapopatikana.
Yah ni kweli uliyoyasema wapo ambao wanakosa uwezo wa hivyo.

Mm nimetoa kama wazo kwa mwenye uwezo nalo kuna mwingine anao uwezo huo lakini hakuna ma wazo hill si unajua binadamu hatufanani unalowaza wewe na mm tofauti hivyo yahni.
 
Yah ni kweli uliyoyasema wapo ambao wanakosa uwezo wa hivyo.

Mm nimetoa kama wazo kwa mwenye uwezo nalo kuna mwingine anao uwezo huo lakini hakuna ma wazo hill si unajua binadamu hatufanani unalowaza wewe na mm tofauti hivyo yahni.

Usijali mwaya kuwa na amani
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom