Tuliyoyasema: Mabilioni ya NSSF et al ya "uwekezaji" hayalipiki!! - Ripoti ya CAG yafichua

tatizo sio NSSF tatizo ni dau si uwe wazi naona unajificha kwenye msitu wa karanga
 
I think it is time to look at all pensions through forensic accounts to unearth all the solvency and review all these projects cause as members we hardly benefit through these investments. All employees of these pension funds are really wealthy while the members are very poor and ssra is extremely nothing help members..pathetic....we are getting poor services.
It is time know the president to look at the management of pennsion funds soon, the earlier the better
 


Sipendi sana kujinukuu; lakini nikiwa sahihi sioni tatizo kujinukuu. Natumaini Magufuli ataendelea kusafisha maana hapa tatizo lake siyo leo tu bali kwa huko mbeleni...
 
Ni wakati sasa kurejea haya yote.
 
Mkuu, hamna rocket science hapa ya kutoelewa kitu. Kwa NSSF wewe ni risk kukopeshwa kwa sababu huwezi kukubali kutoa 10% ya kiasi cha mkopo unaomba. Lakini wafanya biashara wakubwa wakwepa kodi wao hiyo issue, mkopo utalipa tu. Na hii dhana kwamba NSSF au mifuko mingine ya jamii inawekeza katika ujenzi wa majumba makubwa makubwa kwa faida ya wanachama siyo kweli. Wanacho kijua wao ni kubariki kile kile 10% kutoka kwa makandarasi wa ujenzi. Makampuni ya ujenzi ya kichina yanayo pewa tenda za ujenzi wa majengo haya hawana choyo kutoa 10% kama ahsante ya wakubwa. After all gharama za mradi siku zote ziko inflated. Kwa hiyo ni win-win scenario. Ebu jiulize kama majengo yooote yanayo ibuka kila siku katikati ya majiji makubwa kama Dar, Arusha, Mwanza, n.k. kama kweli yana wapangaji wa kujaza majumba hayo kwa gharama za kodi ya $$$ per sq. meter wanazo taka. I doubt it. Lakini mwisho wa siku, wao wapate wapangaji au wasipate hiyo siyo issue alimradi jengo limeisha na linaonekana kwa macho barabarani. And the next day wanatafuta site nyingine ya ujenzi kwa gharama yoyote. Ebu imagine, 10% ya mradi wa 2 trillion, ambao kwa level ya hizi taasisi ni kiduchu. That is 200m/-.
 
Tatizo la pension funds zote kuendeshwa na Watu wasio na uweledi wa namna ya kuendesha pension funds Ndio Maana wengi wao hawaoni soni kuangalia short term benefits zao bila kuangalia long term effects za maamuzi Yao. Dr Dau ni Mtu wa marketing na hakuna marketing yoyote aliyofanya hapo nssf na hata Kama alifanya the core problem ya nssf ni ku manage hizo funds , Eriyo ni mwanasheria, Maingu ni Mtu wa IT , tunafikiria kila kitu kitakuwa solved ki utawala bila input ya utaalamu na wataalamu wenyewe wanafanywa ni watumwa wa watawala I.e ma DG na Genge lake la Bodi zisizo na uweledi zikiweka maslahi Yao wana acha pembeni ushauri na wataalamu hawana pakukimbilia ? Wengine huu ishia ku join the party wengine kufukuzwa
 
Wasomi wa Tanzania badala ya kuwa inovative, wanafikiria kuiba tu. NSSF ina madudud mengi sana kwenye hizi project zake za uwekezaji. Ipo siku tunagundua yanayoendelea nyuma ya pazia.

Matter of time,dau ataenda jela
 
"Watanzania ni watu pekee wanaoishi katika nchi yao kama wageni, kwamba kuna siku watarejea kwenye nchi yao nyingine"
Hii sentensi unatakiwa kuisoma taratibu ujumbe ukupate imebeba maana kubwa sana ya sura halisi ya aina watu wanaoitwa WATANZANIA.
 
Hakuna namna yooyote ya wanachama wachangiaji kushirikishwa au kujua kinachoendelea ktk mifuko hii! kibaya zaidi ni wakati wa kustaafu umechangia mfuko kwa miaka 35 unalipwa shs milioni 6 TU! Kuna regulator wa mifuko hii lakini huyu mama hana nguvu kabisa na badala ya kuongoza yeye ndie anaongozwa kwa kufuata wanayosema PPF, NSSF na mingineyo kwani ndiko alikotokea! Serikali imweke mtu makini na jasiri kuwa DG wa Regulator.
 
Halafu ile SSRA takataka kabisa. Sioni ikifanya lolote kutetea wanachama wa mifuko iliyo chini yake. Its about time sasa tukawa na Pensioners Associations kusimamia maslahi yetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…