Mzee yule wa scheduled maintenance yeye anasemajeKesho utasikia kahamishwa kituo cha kazi. CCM ni majambazi
Mzee yule wa scheduled maintenance yeye anasemajeKesho utasikia kahamishwa kituo cha kazi. CCM ni majambazi
Acha wamuhamishe ukweli umedhihirikaKesho utasikia kahamishwa kituo cha kazi. CCM ni majambazi
Kwa faida ya wasomaji ni 30b usd na sio 30m usd"Hata kama tusipopata tone la maji bado tunaweza kuzalisha umeme kwa miezi saba ijayo" - Meneja Bwawa la Mtera.
Ole wao mafisadi wa nchi hii wamshughulikie huyo meneja, ameamua kuwa mkweli kwa nafsi yake na nchi yake, hawa jamaa ni wezi na wanafahamika kwa matendo yao miaka na miaka, kuwatetea kwa kutuletea namba nyingi kwenye long articles ni kupoteza muda tu.
Rais anakurupuka kuleta habari za LNG na wajanja nao wanachukua nafasi hiyo kutengeneza mianya ya kutupiga huku Zitto akiwa mpiga zumari, wanajua pale kuna $ 30 mil. ni nani mwenye akili timamu wakuiamini combination ya Zitto na Makamba?
Badala ya kumalizia mradi wa Bwawa la Nyerere wanaenda kutumbukiza mapesa mengi kutengeneza mradi mpya, hivi kwa akili ya kawaida tu hii kitu inaeleweka kweli?
Bado anajitutumua ,mchawi akila nyama ya mtu.....Mzee yule wa scheduled maintenance yeye anasemaje
Baada ya kuhaki mashine ya father?Fadhila alizopewa jr makamba ndoo zinatuumiza
Kabisa mkuuMeneja wa hilo bwawa apandishwe cheo na alindwe, tunahitaji wazalendo nchi hii , Rais Samia alione hili
Na mama piaSina imani tena na Waziri Makamba.
Kihansi, Kidatu na Pangani ndiyo mabwawa yaliyoathiriwa na upungufu wa mvua. Bwawa la Mtera lina uwezo wa kuhifadhi maji kwa mwaka mmoja. Yaani lina resrvoir inayoweza kuback-up kwa mwaka mzima kwa hiyo huwa linakuwa la mwisho kukauka.“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Ukiwa miongoni wao shurti uwe kama wao.Atakuwa hapendi upuuzi
“Kwa kina hiki cha mita 5.76 tunaweza kuzalishha umeme kwa kiwango cha juu cha megawatts 80 kwa miezi saba ijayo hata kama tone moja la mvua halitaingia kwenye bwawa la Mtera”
- Meneja wa Kituo cha kuzalisha umeme Mtera, Elias Mwalupilo
Hata hivyo kawaumbua ,ni kazi bure kumuhamisha ,utakuta alipangwa aseme kina kimepungua akawakubalia ,alipofika kwa waandishi wa habari hadharani akatosaKesho utasikia kahamishwa kituo cha kazi. CCM ni majambazi
Hivi kwanini Samia anamlea huyu Makamba ?Mkurugenzi TPDC abadili gia angani, asema hakuna uhaba wa mafuta nchini
Mkurugenzi wa shirika la maendeleo ya petroli Tanzania amesema Tanzania haina uhaba wa mafuta nchi ikiwa ni tofauti na kauli iliyonukuliwa na gazeti la Nipashe wakati akiongea na wanahabari. Mapema January Makamba alikanusha Tanzania kuwa na uhaba wa mafuta na kumtaka mkurugenzi huyo kwenda...www.jamiiforums.com
Walikuwa wote ofisi ya makamu wa Rais Muungano.Hivi kwanini Samia anamlea huyu Makamba ?
Meneja lazima kuna watu wako nyuma yake!Meneja wa hilo bwawa apandishwe cheo na alindwe, tunahitaji wazalendo nchi hii , Rais Samia alione hili