Tulipodhani tunajua kila kitu

Tulipodhani tunajua kila kitu

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
360,354
Reaction score
829,591
Wamarekani walitaka kutuaminisha kuwa wao ndio baba wa tech duniani na kwao hakuna kinachoshindikana, kuanzia mwezini mpaka chini ya uvungu wa bahari, wanaimonitor dunia yote kwa ufasaha kabisa, lakini kupotea kwa ndege ya malaysia ni changamoto mpya ya dunia na kwakweli sasa tunaweza kupinga kuwa dunia si kijiji tena. Kisa cha ndege ya malaysia kinashabihiana kwa kiasi fulani na habari za mnara wa babeli.
 
Wamarekani hata ipads tu hawajawahi tengeneza...marekani ina collapse
 
Wamarekani hata ipads tu hawajawahi tengeneza...marekani ina collapse

Bado sana.

Marekani kuanguka si leo, kesho, keshokutwa, mtondogoo, wala wala mtondojogoo.

Marekani iko juu karibu kwenye kila nyanja iliyo bora hapa duniani.

Halafu unamaanisha nini kusema hata iPads hawajawahi kutengeneza?
 
Wamarekani walitaka kutuaminisha kuwa wao ndio baba wa tech duniani na kwao hakuna kinachoshindikana, kuanzia mwezini mpaka chini ya uvungu wa bahari, wanaimonitor dunia yote kwa ufasaha kabisa, lakini kupotea kwa ndege ya malaysia ni changamoto mpya ya dunia na kwakweli sasa tunaweza kupinga kuwa dunia si kijiji tena. Kisa cha ndege ya malaysia kinashabihiana kwa kiasi fulani na habari za mnara wa babeli.

Wamarekani ni nani?

Walitaka kuaminisha hayo nani? Kivipi?

Ushahidi wako wa kuthibitisha hayo uko wapi?
 
Bado sana.

Marekani kuanguka si leo, kesho, keshokutwa, mtondogoo, wala wala mtondojogoo.

Marekani iko juu karibu kwenye kila nyanja iliyo bora hapa duniani.

Halafu unamaanisha nini kusema hata iPads hawajawahi kutengeneza?

Hawana factory wala hawajawahi kuwa nazo zinazotengeneza ipads...ni kweli bado wako juu but sio sawa na enzi za Clinton...sasa wana enjoy zaidi ni wale 1 percent
 
Hawana factory wala hawajawahi kuwa nazo zinazotengeneza ipads...ni kweli bado wako juu but sio sawa na enzi za Clinton...sasa wana enjoy zaidi ni wale 1 percent

So what kama hawana? Huko zinakokuwa assembled ni kwa ajili ya cheap labor tu. Lakini ikija kwenye mambo ya development, design, na marketing, ni wapi yanakofanyika (kwa nguvu) hayo?

Wewe unadhani hizo iPads na products zingine za Apple zinakuwa designed wapi?

Marekani imekuwa superpower tokea mwishoni mwa karne ya 19. Clinton aliikuta Marekani iko juu, kaiacha iko juu, na itaendelea kuwa juu kwa muda mrefu ujao.

Mimi sipo kwenye kundi la hao 1% lakini bado na enjoy. Nina uwezo wa kwenda Vegas, Atlantic City, Caribbean cruise, vacation in Tanzania, na zaidi. And I'm not even a millionaire (in terms of US dollars).
 
Mwisho wa mwaka huu China will be the largest economy..
 
Mwisho wa mwaka huu China will be the largest economy..

Sikubali. China bado sana kuifikia na kuipita Marekani.

Unaweza kuwa na uchumi mkubwa lakini usio na ubora.

GDP ya Marekani ni trillioni 16.7. China ni trillioni 13.3

Per capita GDP (nominal) ya Marekani ni $$52,852. China ni $$6,747. You do the math.


 
Sikubali. China bado sana kuifikia na kuipita Marekani.

Unaweza kuwa na uchumi mkubwa lakini usio na ubora.

GDP ya Marekani ni trillioni 16.7. China ni trillioni 13.3

Per capita GDP (nominal) ya Marekani ni $$52,852. China ni $$6,747. You do the math.



Fareed Zakaria did a very good piece on Sundays GPS showing why the talk that China is going to overtake the US economically by the end of the year is premature.
 
Kinachowafanya Wamerekani wawepo juu ni strategy yao ya kukichukua kila kichwa chenye maana duniani na kukifanya cha Kimerekani.
 
Kinachowafanya Wamerekani wawepo juu ni strategy yao ya kukichukua kila kichwa chenye maana duniani na kukifanya cha Kimerekani.

Hawachukui kwa nguvu wala. Hao hao so called "kila kichwa chenye maana duniani" wanavutiwa na fursa zilizopo Marekani.

Fursa ambazo misingi yake iliwekwa zaidi ya miaka 200 iliyopita.
 
Wamarekani walitaka kutuaminisha kuwa wao ndio baba wa tech duniani na kwao hakuna kinachoshindikana, kuanzia mwezini mpaka chini ya uvungu wa bahari, wanaimonitor dunia yote kwa ufasaha kabisa, lakini kupotea kwa ndege ya malaysia ni changamoto mpya ya dunia na kwakweli sasa tunaweza kupinga kuwa dunia si kijiji tena. Kisa cha ndege ya malaysia kinashabihiana kwa kiasi fulani na habari za mnara wa babeli.

nakuhakikishia Marekan wanajua ilipo hyo ndege
 
Wamarekani walitaka kutuaminisha kuwa wao ndio baba wa tech duniani na kwao hakuna kinachoshindikana.

Mimi naungana na Kiranga kuomba kufahamishwa hili tukio la kuuaminisha umma wa ulimwengu lilifanyika lini rasmi?
 
Last edited by a moderator:
Ndege imepotea au USA ameiweka anapopajua yeye
 
Mwisho wa mwaka huu China will be the largest economy..

Sikubali. China bado sana kuifikia na kuipita Marekani.

Unaweza kuwa na uchumi mkubwa lakini usio na ubora.

GDP ya Marekani ni trillioni 16.7. China ni trillioni 13.3

Per capita GDP (nominal) ya Marekani ni $$52,852. China ni $$6,747. You do the math.



Fareed Zakaria did a very good piece on Sundays GPS showing why the talk that China is going to overtake the US economically by the end of the year is premature.


Na wachina wenyewe wamesema hizo takwimu za benki ya dunia sio za kweli kuhusu China kuongoza kiuchumi karibuni.
 
mimi naungana na kiranga kuomba kufahamishwa hili tukio la kuuaminisha umma wa ulimwengu lilifanyika lini rasmi?

watu8 ni haki yako kuungana na kiranga, endelea kufuatilia hii thread utapata majibu
 
Last edited by a moderator:
Kinachowafanya Wamerekani wawepo juu ni strategy yao ya kukichukua kila kichwa chenye maana duniani na kukifanya cha Kimerekani.
Hii ni mbinu nzuri pia CCM yako wameacha kichwa cha kaka yako Lipumba na kuweka matikiti kwenye uchumi kisa yana rangi ya ccm kwa juu.
 
Back
Top Bottom