muuza ubuyu
JF-Expert Member
- Nov 23, 2010
- 3,543
- 3,601
- Thread starter
- #21
Hahahaaa, ila huo utaratibu ulikuwa mzuri sana. Vipi lakini, na wewe walikukoa mkuu?Tulikuwa na utaratibu wetu ambao nikikutoa chawa mmoja nakukoa konzi moja, nikivunja mayai mawili nakukoa konzi moja.