Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Tuliowahi kupewa suspension tukutane hapa

Mwakaleli high school.(mbeya)

Walinipiga ban ya miezi 8
Nilitakiwa rudi siku ya mtihani Wa taifa.

Hata nilivorudi Fanya mtihani siku takiwa jichanganya na wanafunzi waliopo.

Hivyo tukaambiwa tuwe tunakuja Fanya mitihani tokea kijijini na sio hostel za shule


Ova.
 
Kuna ticha flani alikuwa anaitwa Shoo pale Umbwe secondary , alikuwa mnoko sana..siku ya siku alituona na masela tunaenda Kombo (Gulioni). ilikuwa jmosi...kufika jtatu akaniita tu mimi alafu akanipiga paa ya mwezi mzima.. ikabidi niende kwa sista angu A.town alikuwa anaishi Engosheratoni (Unga limited).Kufika kwa sista nikamuomba asimwambie maza, sista alichofanya akawa ananipa barafu nikauze Sinoni shule ya msingi.

Siku day zilivokata nikaenda skuli na shemeji yangu , kufika tu Shoo alianza kumwambia shemu kuwa navuta ganja, nakunywa banana,alafu mi ni mwizi..shemeji akasikitika sana. shem akampa twenty yule ticha pamoja na adhabu niliyopewa ya kuleta senyenge.

Baada ya shem kuondoka nikajua msala umeisha ebanaeee...kesho yake nikashangaa amekuja dom akasema twende ofisini kufika akaniambia twende maeneo ya ground, akachukua vijiti akachomeka aridhini alafu akaniambia nichimbe shimo la saizi ya vijiti alafu nikizama nisionekane. Jamaa alifanya shule niione ngumu sana.
 
igawilo, igaufe chama langu hili advance
Mimi nilinusulika kula spaa

Nikiwa shule moja inaitwa igawilo nilikua kiongozi wa miradi pia nilikua ndo nashughulikia maswala ya tv Yan Kama watu nataka kuangalia tv lazma nitafitwe, Jambo Hilo lilifanya niwe maarufu sana shuleni...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilipigwa mara 3, form one, form 3, na Form 4 nilipigwa ile suspension isiyo na muda mpaka kikao cha Bodi kikae,

Walikuja kukaa wiki moja kabla ya Necta, nikapiga pepa na kupita hivi,

Uchakataji huu ulinitia hasara sana,

Kosa:
Hiyo supsension ya Form 4.
Nilimlimtorosha dogo wa hostel na kwenda kulala naye gheto Asubuhi namrudisha tukafumwa na Matron.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nlijua tu

kelphin kepph
 
WAJOMBA NIMECHEKA YAANI MMEAFANYA VIBWEKA VYA KUTOSHA SKULI YA KWANGU NI KWAMBA KUNA DEMU NILIKUWA NAFKUZIA KUMBE ANALIWA NA MWL WA NIDHAM NILIMUWINDA TICHA HADI NIKAWAFUMANIA LAIVU, NDANI YA BONGE DINNING HALL NILIKUWA NAPIGA MSULI PEKE YANGU WATU WALIKUWA ....
Hahaha hii imenifanya nicheke sana na kunipa moyo wakuelezea nilichokifanya A level kwa demu wangu baada ya kugundua kumbe kuna ticha anamgegeda wakipewaga pass ya kwenda mjini. Nitarudi....
 
Mwaka juzi (2018) nilikamatwa natoka kucheki fainali kombe la dunia. Ticha wa nidhamu akatuchongea kwa msaada wa makamu mkuu wa shule tukapewa spa ya wiki mbili. Tukaona haiwezekani turudi home tuishi kwa masimango hivo tukawa mchana tunakaa nje ya shule, usiku tunakuja kulala na kuna washkaji kama ni wali wanatutunzia.

Tulikuwa tumecover topics zote kasoro Organic hivo tulihudhuria library ya mkoa kiwiziwizi kupiga msuli. Tulizurula sana maeneo ya Memo, Shirimatunda na mji wote, hospitali za Mawenzi na St. Joseph tulikuwa tunaenda kuchukua videmu vilivyolazwa na vinesi vidogovidogo, pia mademu hasa wa Mawenzi Sec walikuwa wanajifanya kuumwa sana hivo wanakuja wengi kwa mkupuo hospitali.

Tulikula sana maisha maana pesa si tatizo mwishowe siku ikafika nikampanga mzazi azime simu mchana huo, nikamchukua mhuni wangu kutoka Umbwe ( walimu wao hawawasumbui kuhusu nywele) akaja kama mjomba maana ni giant. Akanichapa tatu, nikachimba mtaro (nililipa wasukuma wafanye hivi) kesi ikaisha. Hii moment tamu sana kuikumbuka!
 
Nakumbuka Nikiwa Sangu secondary O level,Mwalimu Kapa..... Alitufumania na mwanangu G Tunaruka ukuta(kutoroka nje ya Shule) akasema rudini Nilijichana sana na chupa kwenye ukuta Nakumbuka Tulifanikiwa kutoroka Ticha alitukamia kinoma Tukawa hatuendi shule kama Wiki mbili hatujui Tuanzie wapi.

siku moja Nikasikia ametufukuza shule mashaidi monitor na montress ndipo ikabidi kumfuata Nyumbani kumuangukia akasema Tumechelewa but Nikampanga Bro wa kitaa Tukaenda shule Tukampa mpunga kidogo Ticha akanisamehe Nilivyorudi Wanafunzi walishangaa Nimefanikiwa vp kurudi shule Nikawaambia Babu yaani mganga kanisaidia Nimerudi shule ilikuwa enzi za kampeni ya JK awamu ya pili Sitosahau.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dalili ya kupata suspension shule ni zile harakati za kudai haki...kupangana na dhuruma ya viongozi..kuminya demokrasia kwa maksudi kabisa kwa kutumia mamlaka waliyonayo.

Sasa nashangaa wazee wa suspension vip mbona mpo kimyaa... au harakati zenu za kudai haki zilikuwa ujanani tu.
 
Kuna ticha flani alikuwa anaitwa Shoo pale Umbwe secondary , alikuwa mnoko sana..siku ya siku alituona na masela tunaenda Kombo (Gulioni). ilikuwa jmosi...kufika jtatu akaniita tu mimi alafu akanipiga paa ya mwezi mzima.. ikabidi niende kwa sista angu A. town alikuwa anaishi Engosheratoni (Unga limited).Kufika kwa sista nikamuomba asimwambie maza, sista alichofanya akawa ananipa barafu nikauze Sinoni shule ya msingi...


Sent using Jamii Forums mobile app
 
EINSTEIN112,
Sio watoto wa majengo secondar? Enzi za brother Lyimo
Enzi za Lyimo sidhani kama Imewahi tolewa suspension, Lyimo mlikua mnamalizana kwa fimbo kadhaa then anakuachia usepe zako.

Now adays naskia kuna new headmaster myb mishe za suspension ndio zianze.
Nimepiga MJSS form 1 hadi form 6 so naijua school nje ndani.

Distributed Denial-of-Service
 
Back
Top Bottom