SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,918
- 1,993
Sector binafsi inabidi uwe mtu wa kufunika kombe sana mwanarahamu apite, uwe kunguru muoga uweze kudumu kwenye kazi moja mda mrefu na ujifunze majungu mambo yaende lakini sisi wengine dakika moja mbele kwa kweli tushazoea hali hii. Ni kama tu pepe kupewa card nyekundu na kutolewa nje