Kati ya vitu vinavyouma katika maisha ni kufukuzwa kazi, nakumbuka miaka kadhaa nyuma baada ya kumaliza degree yangu nikabahatika kupata kazi kwenye kitaasisi kimoja hivi.
Nikapiga kazi kwa kujituma sana aliekuwa boss wangu akawa ananichukia mno visa kila siku kikianza hiki kinakuja hiki nikawa Nina stress saana na kazi.
Mara nikajikuta naambiwa nimewatukana staff mate wenzangu yaani balaa juu ya balaa, nakumbuka nilienda likizo ya kawaida kama ilivyo haki ya mfanyakazi yoyote nikiwa likizo watu wa kazini wakanitonya kuwa kuna mtu kaajiriwa anafanya majukumu yangu ni balaa.
Siku narudi kazini namkuta mfanyakazi mpya kakalia kiti changu na anatumia computer yangu nikashindwa nikae wapi na nifanye majukumu gani mzee nikashinda bench siku nzima, baada ya happy tukawa tunafanya kazi kwa kupokezana kwenye computer nlokua natumia Mimi shida hizi jamani.
Basi bhana aliekuwa msaidizi wa boss wangu akaniita kiutu uzima akanambia hapa kazi hamna kama unaweza apply sehemu nyingine wenzio wanakusubiria uteleze kidogo tu wakule kichwa, nikabaki dilemma basi siku moja foleni za mjini hapa nikachelewa kuingia kazini kama dakika kumi hivi boss akawaandikia HR office kama hayupo tayari kufanya kazi na Mimi.
Hr mmoja akanambia kama naweza niandike resignation letter au nisubirie kufukuzwa nikaona maji yamekua mengi nikaandika barua ya kuacha kazi kwa mwezi mmoja boss akaacha kunifatilia tangu siku nlipoandika barua nikawa naingia kazini kiubish mpk mwezi ukaishi nikalipwa mafao yangu mambo yakawa yanasonga.
Ugumu wa kwanza baada ya kuacha kazi ni ile hali ya kuamka asubuhi hujui uende wapi, unajikuta unachukia sehemu ulokuwa unafanyia kazi hata kupapita hutaki tena marafiki wa kazini wanakutenga na wengine wanakupotezea kabisaa majirani na ndugu wanaanza kukusengenya usipojipanga unaweza kujiua.
Nashukuru Mungu niliweza kupambana na maisha bila kazi nimesimama tena nje ya ajira.
Nikapiga kazi kwa kujituma sana aliekuwa boss wangu akawa ananichukia mno visa kila siku kikianza hiki kinakuja hiki nikawa Nina stress saana na kazi.
Mara nikajikuta naambiwa nimewatukana staff mate wenzangu yaani balaa juu ya balaa, nakumbuka nilienda likizo ya kawaida kama ilivyo haki ya mfanyakazi yoyote nikiwa likizo watu wa kazini wakanitonya kuwa kuna mtu kaajiriwa anafanya majukumu yangu ni balaa.
Siku narudi kazini namkuta mfanyakazi mpya kakalia kiti changu na anatumia computer yangu nikashindwa nikae wapi na nifanye majukumu gani mzee nikashinda bench siku nzima, baada ya happy tukawa tunafanya kazi kwa kupokezana kwenye computer nlokua natumia Mimi shida hizi jamani.
Basi bhana aliekuwa msaidizi wa boss wangu akaniita kiutu uzima akanambia hapa kazi hamna kama unaweza apply sehemu nyingine wenzio wanakusubiria uteleze kidogo tu wakule kichwa, nikabaki dilemma basi siku moja foleni za mjini hapa nikachelewa kuingia kazini kama dakika kumi hivi boss akawaandikia HR office kama hayupo tayari kufanya kazi na Mimi.
Hr mmoja akanambia kama naweza niandike resignation letter au nisubirie kufukuzwa nikaona maji yamekua mengi nikaandika barua ya kuacha kazi kwa mwezi mmoja boss akaacha kunifatilia tangu siku nlipoandika barua nikawa naingia kazini kiubish mpk mwezi ukaishi nikalipwa mafao yangu mambo yakawa yanasonga.
Ugumu wa kwanza baada ya kuacha kazi ni ile hali ya kuamka asubuhi hujui uende wapi, unajikuta unachukia sehemu ulokuwa unafanyia kazi hata kupapita hutaki tena marafiki wa kazini wanakutenga na wengine wanakupotezea kabisaa majirani na ndugu wanaanza kukusengenya usipojipanga unaweza kujiua.
Nashukuru Mungu niliweza kupambana na maisha bila kazi nimesimama tena nje ya ajira.