Lenie
JF-Expert Member
- Aug 3, 2012
- 17,231
- 49,962
๐๐Nimekupenda bure. Nitakupigia namba yako ninayo ๐๐๐
๐๐Nimekupenda bure. Nitakupigia namba yako ninayo ๐๐๐
kuna siku anaenda baiskeli road tu niliingia mtaroni bila hata kuelewa imekuaje..yote mawazo aise..
๐๐๐
Mwamba kweli ulifeliKuna ka dem nilifall inlov nako..siunajua likizo ya six ile weng ndo huwa tunafanya matusi ..sasa ndo alikua first lov wangu ..nilikakuta bikra...mi nilikua nishabikiliwa na hausigel..bas yule demu nilimpenda kupita maelezo..ila sasa alikua ananiendesha kama gar bovu aisee .yaan hata stak elezea...sasa nikikumbuka jins mwanamke yule alivyokua ananitesa na kwa jins sasa hiv navyowatesa wao nabak nacheka tu na kujiona daaah nilifeli sana enz zile
Lkin mkuu kwa nn ulshirik dhamb hii?kifupi nilikuwa naishi nae kam mpenzi lakini kaenda kwao kakaa miezi mitatu na hela ya pedi aliniomba wiki mbili baada ya kuondoka lakini wiki moja kabla ya kurudi kaniambia hakuwa ana ziona siku zake hivyo anaona ana dalali za ujauzito karudi lakini kila mtu alikuwa anaishi pekeake kwel niligundua kwel mjamzito nilimbana aniambie ukwel kwamba ujauzito ni wangu au wa nan maana asilimia 99 sio wangu na nikagundua alikuwa na mahusiano mengine nikagoma kabisa kwamba sio wangu ila niliamua kumsaidie atoe afu maisha yaendelee kwa sababu bado nampenda lakini siku nampelekea dawa ili tutoe ujauzito niliendelee kusisistiza sio yangu tukagombana sana akaondoka usiku saa nne kaenda kwa mwanaume mwingine ambaye wamekutana wiki mbili zilizopita na kuhanzisha mahusiano niligundua baada ya kuacha simu yake nilimsubiri bila mafanikio hadi yakapita masaa 24 na alirudi akiwa kashatoa ujauzito nikabakia ili nimsaidie kwa hali alikuwa nayo lakini sikupata usingizi kabisa maaana ata alivyokuwa ameondoka na kugundua alipo kwenda sikupata usingizi na nikamwambia najua ukwel alikwenda alichofanya nikunizarau sana lakini cha ajabu asubuhi saa kumi na mbili kaniaga anatoka nikamuuliza anaenda wap nikambana kaniambia anaenda kwa mshikaji tena nikaamua kuondoka lakini nikimtafuta mida ya usiku hapatikani anakuwa kwa mshikaji
Nilifeli saaaanaMwamba kweli ulifeli
Sawa tumekuelewa. Ila hyo control haija ijaja tuu..lazima kuna funzo ulilipata ndo ukaamua kuwa hvyo..sasa tunataka hlo funzo ..huyo aliekubadilisha tabia had ukaamua sasaa iwe hiv ndo tunataka stor yake..ilikuajeTunaojua kucontrol hisia za mapenzi kwa mwanamke zisivuke ukomo huu Uzi tunasoma tu uuzi nakujichekea kwa mbaaaliii.......!!!!!
Though kuna moment naonaga ninapokua na mahusiano na mwanamke......huu mtindo wangu wa kuwa na partial feelings huwa ni Kama nawanyanyasa Sanaa lkn potelea pwete........Hawa ukiwaendekeza Sanaa wanaweza kukuua kwa pressure
Sio mbaya ilikuwa lazima utendwe ili uweze kuwa legend wa mafisiNilifeli saaaana
Okay ..glad to see you
Daaah nahisi wote yeye pamoja na mm tuli asiliwa na kazi tunafanya nijambo la kawaida kabisa maana sisi ni waaguzi,,,,,,,,,kutoa mimba ni jambo la kawaida mfano mzungu kam anatak mtoto wa kike akipat wa kiume anatoa tuLkin mkuu kwa nn ulshirik dhamb hii?
Hivi mkuu kuacha na kuachwa yupi ni shujaa?Mkuu umeanza vizuri ila umemaliza vibaya, nilidhani shujaa ni yule anayeweza kuachwa na dem mzuri na akasepa na kuendelea na maisha yake,
maana yule anayeacha lazima awe na ujasiri maana hamuhitaji tena mwenzie, issue sio kuacha baba, issue kuachwa na ukakubaliana ndo kuna shughuli..
typing error aiseee..Nimecheka kifala kama mazuri
Acha tu yani ni balaa ukisikia mtu anakwambia akiachana na mtu anakua kawaida ujue ni muongo na anajikaza mazoea mazoea jaman ni mabaya yanaumiza mnoyaaani shida afu ukiwa sio muhuni kwamfano mm huwa sipendi kuwa na masiliano nawanawake wengine ko nisipo wasiliana na demu wangu bhas saiz sipokei sms yoyote sikuzima najipoza na jf tu hapa
sijakuelewa boss fafanuaKiburi kinasaidia sana...
katika historia yangu ya mahusiano mpaka kuoa sijawahi achwa bila mm kuwa na mtu mwenye maana kuliko anayeniacha.
Kuna kile kipindi cha dalili za awali kabisa za uhusiano kuvunjika,(awali kabisa) mm sababu ya kiburi nilikuwa situmii ule muda kuokoa mahusiano yaliyopo bali kutafuta na kuboresha mahusiano mapya. Sasa mara zote nilikuwa na bahati by the time huyu wa zamani anataka kuvunja mahusiano officially anajikuta hakuna mahusiano ya kuvunja maana nakuwa nimekolea na mtu mpya na akitaka kurudi nakuwa simtaki. Kuanzia ujana wangu mpaka nilipomuoa huyu niliyenaye ambaye tumedumu muda sasa na watoto.sijakuelewa boss fafanua
ni hatar na nusu๐๐๐ tena usiombe ndo awe mtu wako wa kwanz kakuacha mbon utaisoma namba๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃDah, nakumbuka nilikua nalia kama chizi karibia mwezi mzima, siwezi kula napiga simu niombe msamaha ingawa kosa silijui ila simu hazipokelewi, SMS hazijibiwi na ikafata block๐, nashukuru maumivu yamepungua sasa japo huwa nammiss.