Superb2014
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 8,464
- 6,507
Mapenzi ni shida sana.
Ila maumivu yakipungua unaona aarh aacha aende bana ntapata mwingine mkali zaidi yake😀😀 moyo umeumbwa kusahau aiseeni hatar na nusu😂😂😂 tena usiombe ndo awe mtu wako wa kwanz kakuacha mbon utaisoma namba🤣🤣🤣🤣
ila ukianz kufikiria jinsi mlivyokuw mnadate inabaki maumivu tu🥴🥴🥴 ila ilimradi tu skufaga acha siku ziende tuIla maumivu yakipungua unaona aarh aacha aende bana ntapata mwingine mkali zaidi yake😀😀 moyo umeumbwa kusahau aisee
huyo manzi ako alikuwa katili kichizi yaniHahaha pole saana mzee. Hii kitu ni mbaya mnoo, hakuna maumivu yanayolingana na yale ya kuachwa.. nakumbuka nilikuwa katika depression kali saana, siwezi kula wala kuoga..nilikuwa siwezi fanya kazi yoyote.
Nikamuambia kuwa nitakufa na hii Depression.. yeye akanijibu kuwa kama una depression unasubiri nini kuokota Makopo? Wanawake sio watu aisee, hasa pale anapopata jamaa mpya
We acha tu mkuu. Just imagine kuna cku hata kupanda kitandan nilishindwa, ikabidi nilale uvunguni siku hiyo.Mkuu ni kweli kabisa mkuu kupenda kupo unampenda mpaka unajishangaa
Acha tu mkuu..halafu eti saivi natafutwa kwa lengo la kujuliwa hali..nawashangaa saana wanawake.mimi hata sijibu hizo sms.huyo manzi ako alikuwa katili kichizi yani
sawa tajiri namba moja duniani🤭🤭🤭Watu wasio na malengo ktk maisha yao ndio wanapata shida kwenye mahusiano, inashangaza sana eti mtu anaamka asubuhi hata hajashuka kitandani anapiga sim, mchana, usiku. huo ni ujinga. Kama una plans na kazi za kufanya huwezi kutumia muda wako hivyo,
Mm kuna mtu mara kwa mara siku hizi ananitumia msg "Nimekumiss kinoma" huwa najibu simple tu "Me nipo"Acha tu mkuu..halafu eti saivi natafutwa kwa lengo la kujuliwa hali..nawashangaa saana wanawake.mimi hata sijibu hizo sms.
Daah..nimecheka kama mazuri sa ilikuwaje ukalala uvunguni😂😂😂We acha tu mkuu. Just imagine kuna cku hata kupanda kitandan nilishindwa, ikabidi nilale uvunguni siku hiyo.
Umeongea kinyume, anaona kaachwa kisa hana hela na sio mapichapicha aliyokuwa anamuonyesha mwenzie, badala ya kuwaza kubadili tabia na utu wake anawaza atafute hela ili sijui avumiliwe hayo mapichapicha 🥴Ukiwa hauna hela haya ndio matokeo yake......?!
Mwanamke akikuacha unaona wewe ndio tatizo kumbe hauna hela.
Pesa mnazisingizia tu kaulize matajiri kama hawakioni cha mtemakuniUkiwa hauna hela haya ndio matokeo yake......?!
Mwanamke akikuacha unaona wewe ndio tatizo kumbe hauna hela.
Washkaji wakikutenga unaona wewe ndio tatizo kumbe tatizo ni hauna hela....
Pambana utafute pesa utaona hizi vitu kama zitakukuta.
We acha tu mkuu. Just imagine kuna cku hata kupanda kitandan nilishindwa, ikabidi nilale uvunguni siku hiyo.