- Thread starter
- #21
Hakuna ndoa bila mahari, sharti la ndoa ili iitwe ndoa lazima mahari iwepo. Sasa hiyo itafutie jina mzee.Tuliooa bila mahari kabisa tukutane hapahapa!
Hakuna ndoa bila mahari, sharti la ndoa ili iitwe ndoa lazima mahari iwepo. Sasa hiyo itafutie jina mzee.Tuliooa bila mahari kabisa tukutane hapahapa!
Mke wa pili, aliniambia Tsh 50,000/-.mke wa pili mahari ulitoa sh.ngapi?
Kama ni bikra it's fairNitakapotaka kuoa wakinipiga bei kubwa nitawauliza..TOFAUTI NA UCHI, KITU GANI CHA ZIADA ALICHO NACHO?
Michepuko unayo?Ila Uislamu ni raha asikudanganye mtu nilifunga ndoa pamoja na mahari kwa shilling 70,000 ukijumurisha pamoja na usafiri.......sasa ni mwaka wa 9 watoto watatu, nyumba tumejenga gari tunazo mahaba tunao pia
umeoa manka wa kichagaKupewa mke bila mahari au mahari Kiduchu ni Mtego mkubwa
Wakati naoa niliomba wazee waende ukweni kwa mzee Macha ili waeleze nia ya kijana wao na kupewa taratibu za mahari.
Kichwani kwangu nilikuwa nawaza hiyo list ya mahari maana mzee alikuwa jeuri na binti amemsomesha.Wazee wakaambiwa njooni mwezi ujao na huyo kijana niwatajie mahari,tulipofika mzee akaita binti yake,Mankaaaaa njoo hapa!
Mzee akamuuliza Unamjua huyu kijana?umempenda mwenyewe? Manka akajibu ndio baba.
Mzee akaniambia kijana kama mmependana nawapa baraka mkaishi vzr hayo Ndio mahari.
Sasa ni Mtego Kwasababu ukweni wakikohoa tu Nimeshafika kwa jinsi ninavyowaheshimu na kuwapenda,yani niko frontline utadhani mm mtoto wao wa kiume
Chai ya moto kabisa hii..walinambia 1m kama mahari, nikasema ana K mbili au vipi
"Sisi"? Hao wengine ni watu gani?Sisi hizo sikukuu zenu hatuzitambui hata hii ya Wanawake kadhalika siitambui, ni uhuni tu na kupotezea watu muda.
Nawazungumzia wenye mtazamo kama wangu, na sisi tuko wengi mno."Sisi"? Hao wengine ni watu gani?
Speak for yourself.Nawazungumzia wenye mtazamo kama wangu, na sisi tuko wengi mno.
Nikuulize swali?
Hilo halipo, sababu wenye mitazamo sawa hawaepukiki, ndiyo maana sote tunatakiwa tupambike na tabia njema. Uwakilishi haukwepeki bibie.Speak for yourself.
Ndio niulize swali.
Mchepuko wanini tena? Nipate magonjwa ya bureMichepuko unayo?
Wapi Nimesema tuna tatizo mkuu? Tuko raha mustarehe mimi na mke na wakwe zangu, acha kutuchuliaHilo ni tatizo lenu binafsi.
Unajua kuna tofauti ya kuoza na kuoana? Au hata kiswahili nacho ni kazi kwako?Umepata wapi hii habari ? Maana katika ufungaji ndoa kuna maneno hutamkwa kwa matamko ya wakati uliopita, hilo la kuoana umelipata wapi?
Kwanye Uislamu kuna kuoza na kuoa, hakuna kuozana.
Naichukulia kama tunavo- celebrate bithdays, Christmas, Easter.. As for "women's day",ni siku ya kucelebrate mafanikio au hatua alizopiga mwanamke.Hilo halipo, sababu wenye mitazamo sawa hawaepukiki, ndiyo maana sote tunatakiwa tupambike na tabia njema. Uwakilishi haukwepeki bibie.
Unaichukuliaje siku ya Wanawake duniani na kwanini iwepo na inatija gani ?
Kwa hili jambo naungana na waislamu mambo yanatakiwa yafanyike smoothly kama hivyoTafuta wapo kibao, ila kaa ukijua ya kuwa ndege wafananao huruka pamoja.
Mimi kuna swahiba wangu mmoja, alioa kwa mahari ya Juzuu, nenda kaulizie bei ya juzuu madukani utaambiwa, nahisi juzu halizi Tsh 500/-.
Haya mambo sijui kwanini watu wanayatia uzito namna hii.
Hujaelewa nilichokiandika.Wapi Nimesema tuna tatizo mkuu?Tuko raha mustarehe Mimi na mke na wakwe zangu, acha kutuchulia
Nifundishe Kiswahili kaka. Ila weka akilini hili ya kuwa kuna tamko moja lenye maana zaidi ya moja kulingana na mjengeko wa sentensi au maana. Mfano wa maneno hayo ni hilo "kuoza", kama yalivyo maneno "Kaa", "Paa", "Fua" na kadhalika.Unajua kuna tofauti ya kuoza na kuoana? Au hata kiswahili nacho ni kazi kwako?
Kusheherekea jmsiyo jambo ubaya ni nini unasherehekea na je ulazima wa kufanya hilo upo na je kuna natija ya kufanya hivyo ?Naichukulia kama tunavo- celebrate bithdays, Christmas, Easter.. As for "women's day",ni siku ya kucelebrate mafanikio au hatua alizopiga mwanamke.
Kusherekea kitu ni vibaya?