Tuliooa kwa mahari ndogo tuje tuseme lolote juu ya jambo letu hili

Binafsi nilighairi kutoa mahari kubwa baada ya kukuta watu walisha desilt ,mali yenyewe haikuzidi 500,000 gharama zote na ndoa siwezi funga na mtu sijamkuta virgin na Kati ya hizo 200,000 ni nauli maana ni mkoa A na J
 
Inapendeza, hata hao wanawake waolewe pia na wanaume wawili au watatu ikipendeza wa4, kwani kuna shida pahala!
Kama wewe ni Mwanamke jaribu kuolewa na Wanaume watatau au wawili kisha uje kutoa mrejesho.

Unatakiwa uwe unafirikiria kwanza kabla ya kuandika, mnafikiri haya mambo yametokea tu kusikojulikana au hakuna sababu na hekima ya kuwa kama hivi yalivyo ?
 
Watu wengi hawajui ya kuwa haki huchaguliwa na maumbile.

Kadhalika hawajiulizi kwanini haya mambo yako hivi kama yalivyo ?
 
Goli 3 mkononi na mahari ilitolewa m 3, ndo maana nimesema hizi ishu ni ngekewa tu
Maana ya mahari ni zawadi anayo zawadiwa binti/mwanamke toka kwa aliyemridhia. Maana yake jukumu hili ni la yule muolewaji, kama mwanamke amekuridhia na anakupenda kweli hawezi kutaja mahari kubwa namna hiyo au mfano wa hayo. Katika utajajwi wa mahari huwa kuna tatizo mara nyingi muhusika hashiriki kwa asilimia zote.

Sasa hukuona ukakasi kumtajia mwenza wako kiwango hicho kikubwa cha mahari ?
 
Unaposema siku ya wanawake ni moja na hizo zingine zote ni za wanaume, hiyo hoja unaona ina mantiki kweli?
Hoja ina maana. Kwanini hukuweka tamko "maana" kwenye tamko "mantiki" ? Au umelitumia kimazoea ? Sababu hujaliweka mahala pake tamko hilo.
Lakini kimsingi sijafikiria au kuwaza haya mambo ni magumu kiasi unataka kuyaweka hapa.
Hapa sijaelewa unakusudia nini ? Au umemaanisha nini ?
Kuna siku kuu kadhaa za kuadhimisha mambo/ matukio mbali mbali duniani, sio lazima kuzitambua au kuziadhimisha lakini kuheshimu na kuwaheshimu wanaozisherehekea ni uungwana.
Naomba unionyeshe usahihi wa haya uliyo yaandika.
Siku ya uhuru ipo na inatambulika kama siku kuu, lakini haulazimishwi kuisherehekea, lakini pia kuwashangaa wanaosherehekea ni tatizo zaidi.
Kadhalika hakuna aliyelazimishwa, ila kuwashangaa lazima tuwashangae sababu kufanya kwao au kusherehekea kwao ni sawa kutofanya na kutosherehekea.

Swali la msingi, huwa unafanya mambo ili mwisho iweje ?
Sasa mwamba ikiwa wewe umeamua kusherehekea hizo siku, na mwingine asipoziadhimisha kuna ubaya?
Kwa yule asiyehusika nazo hakuna ubaya.
 

You are right Sir!
 
Tamaduni hazifanani, kwetu mahari inapangwa na wazazi/walezi upande wa kiumeni, halafu pia kabla hajafika home alishajipanga kutoa m 4-5 kwahiyo hiyo aliyotajiwa ilikuwa ni chini ya matarajio yake

Kutajiwa kiasi hicho inategemeana na msukumo/presha ama uhitaji aliokuwa nao muoaji hata kwa laki 3 angelipa na ningeridhia, ila yeye alipenda hivyo na Mimi nikawaambia walezi kiwango Cha kucheza nacho
 
 
Mnaleta utani,mnawajua wasukuma? Hao ndio wanaongoza kutoa mahari kubwa but na kuzaa aisee wanazaa ni shida
 
Suala la idadi ya wake wa kuoa nadhani li wazi kwamba MKE MMOJA, MUME MMOJA. Zaidi ya hapo ni uzinzi na uasherati tu. Ndio Maana Mungu alipomuumba Adam, hakumuumbia wanawake wanne, alimuumbia Eva (Hawa) kama mke pekee. I bet GOD knew better.
 
Nitamuiga huyo Mzee wakati namuoza mwanangu.
 
Upo sahihi kabisa, mtu anaposema M3 ni kiwango kikubwa lazima aseme ukubwa huo ameufanya kwa ulinganisho upi, kuna baadhi ya watu waliojaliwa ukwasi fedha kama hiyo ni ya kuishia Bar (yaani anaweza kuiingiza kwa siku) wakati sisi wengie huo ni mshahara wa miezi saba.

Kuhusu mila na tamaduni pia upo sawa maana hata Uislamu umebeba mila na tamaduni za kiarabu, Ukristo pia umebeba baadhi ya mila za kizungu. Sasa kwa kuwa dini hizi zimetokea huko ni lazima zibebe mila na tamaduni zao maana walikuwa na mila zao kabla ya dini hizo kuja kwao na hata manabii walioazaliwa huko walilelewa na kukulia katika mila hizo.
 
Shukrani sana kwa kuongezea hapo, Kuna wanaume wako serious sana na haya mambo si swala la ukwasi ni moyo wake tu yeye alitaka kunipa heshima hiyo, na mie nisingevunga kuikataa
 
Chief! MUNGU hajawahi kuweka ukomo wa idadi ya wanawake wa kuoa, aliliacha suala hilo mikononi mwetu, ndiyo maana baadhi ya mitume waliotangulia walioa wanawake zaidi ya mmoja na hatujawahi kusikia kuwa wameenda motoni. Hizi sheria za mke mmoja na wake wanne ama kutokuoa/kuolewa kabisa (Mapadri na Masista) zimewekwa na binadamu, MUNGU hausiki nazo (maana hajawahi kutunga sheria, bali alitoa AMRI KUMI).

Hata Waislamu sheria ya kuoa wake wanne ilipigiliwa misumari baada ya Mtume Muhamad S.A.W kwenda zake (hakuwahi kuweka ukomo). Uzinzi ni kitendo cha kufanya ngono nje ya ndoa bila kujali umeoa/umeolewa au kapera.
 
Chief! MUNGU hajawahi kuweka ukomo wa idadi ya wanawake wa kuoa, aliliacha suala hilo mikononi mwetu, ndiyo maana baadhi ya mitume waliotangulia walioa wanawake zaidi ya mmoja na hatujawahi kusikia kuwa wameenda motoni. Hizi sheria za mke mmoja na wake wanne ama kutokuoa/kuolewa kabisa (Mapadri na Masista) zimewekwa na binadamu MUNGU hausiki nazo (maana hajawahi kutunga sheria, bali alitoa AMRI KUMI).

Hata Waislamu sheria ya kuoa wake wanne ilipigiliwa misumari baada ya Mtume Muhamad S.A.W kwenda zake (hakuwahi kuweka ukomo)
Shukrani sana kwa kuongezea hapo, Kuna wanaume wako serious sana na haya mambo si swala la ukwasi ni moyo wake tu yeye alitaka kunipa heshima hiyo, na mie nisingevunga kuikataa

Shukrani sana kwa kuongezea hapo, Kuna wanaume wako serious sana na haya mambo si swala la ukwasi ni moyo wake tu yeye alitaka kunipa heshima hiyo, na mie nisingevunga kuikataa
Hakika Amekuheshimisha!! Nawe pia una deni la kuhakikisha unamtunzia heshima yake kwa kumbebea mimba na kumzalia watoto lakini pia uhakikishe hao akina Baba wa watoto wako wa mwanzo wasije kupasha kiporo (maana baadhi ya wanaume tunapenda mtelezo)
 
Asante kwa ushauri na tahadhari nzuri, nitazingatia, Sina kawaida ya kula kiporo hivyo kuwa na amani
 
Mnaleta utani,mnawajua wasukuma? Hao ndio wanaongoza kutoa mahari kubwa but na kuzaa aisee wanazaa ni shida
Usukumani hawanaga utani na suala la mahari kabisa,hasa binti akiwa mweupe,mnaweza kuposa wanaume hata 4 mnapadiliana dau mwenye mahali kubwa zaidi ndo anapewa mke
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…