IKARAHANSI
JF-Expert Member
- Jul 30, 2019
- 398
- 479
Msalimie Mr!!Umeligundua hilo. Sipendi kuendelea ku-argue na mtu huku nikijua siwezi kubadili mtazamo wake.
Thank you.
Msalimie Mr!!Umeligundua hilo. Sipendi kuendelea ku-argue na mtu huku nikijua siwezi kubadili mtazamo wake.
Thank you.
Bila mahari haiswihi ndoa.Tuliooa bila mahari kabisa tukutane hapahapa!
I will. Thank you.Msalimie Mr!!
Kumbe umewahiwa mamiii...I will. Thank you.
Msalimie Mpenzi wako pia.
Aren't you happy for me?Kumbe umewahiwa mamiii...
Daaaaah
frankly speaking..... NooAren't you happy for me?
Yikes!frankly speaking..... Noo
Kuoana na ndoa ni vitu viwili tofauti Madambila mahari haiswihi ndoa
Kupewa mke bila mahari au mahari Kiduchu ni Mtego mkubwa
Wakati naoa niliomba wazee waende ukweni kwa mzee Macha ili waeleze nia ya kijana wao na kupewa taratibu za mahari.
Kichwani kwangu nilikuwa nawaza hiyo list ya mahari maana mzee alikuwa jeuri na binti amemsomesha. Wazee wakaambiwa njooni mwezi ujao na huyo kijana niwatajie mahari, tulipofika mzee akaita binti yake, Mankaaaaa njoo hapa! Mzee akamuuliza Unamjua huyu kijana? Umempenda mwenyewe? Manka akajibu ndio baba. Mzee akaniambia kijana kama mmependana nawapa baraka mkaishi vizuri hayo Ndio mahari.
Sasa ni Mtego Kwasababu ukweni wakikohoa tu Nimeshafika kwa jinsi ninavyowaheshimu na kuwapenda, yaani niko frontline utadhani mimi mtoto wao wa kiume.
Shukhrani Dada, Zimemfikia!!I will. Thank you.
Msalimie Mpenzi wako pia.
Hili neno "kuoana" ni matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili.Kuoana na ndoa ni vitu viwili tofauti Madam
Tusemeje mkuuHili neno "kuoana" ni matumizi mabovu ya lugha ya kiswahili.
Mimi hizo zote ulizo zitaja sisherehekei hata moja. Mimi nina sikukuu tatu tu basi kwa mwaka,nazo ni :
1. Kila siku ya Ijumaa kwangu ni sikukuu
2. Idd al Fitri
3. Idd al Adh'ha (Idd ya kuchinja)
Sasa maswali yako yanatakiwa yatokee katika hizo sikukuu tatu hapo juu.
Tanbihi : Hivi sahihi ni "Sherekea" au "Sherehekea" ?
Kama mwanamke atataja M sababu anahisi zawadi kubwa kama hiyo nawe unaona anastahiki sawa hakuna tabu..kuna mikoa hapo kaskazini wanaanzia M eti
Kwahiyo we ulikuwa unaoa K ama?..walinambia 1m kama mahari, nikasema ana K mbili au vipi
Kazi kweli kweli mkuuKama mwanamke atataja M sababu anahisi zawadi kubwa kama hiyo nawe unaona anastahiki sawa hakuna tabu..
Shida kubwa kwenye mahari ni wazazi ndio wekuwa watajaji wakubwa, oohh, sijui nimemsomesha, sijui hiki na kile mara hivi, anakurupuka tu kutaja milioni 4.
Kwa mwanaume sema "nimeoa/ameoa" na mwanamke atasema "nimeolewa/ameolewa"Tusemeje mkuu