Azizi Mussa
JF-Expert Member
- May 9, 2012
- 9,172
- 7,428
- Thread starter
- #21
======Kinachomponza zitto ni uwezo wake wa uongozi
Wivu?
======
Roho mbaya?
=========
Kikicho?
=======
Ntimanyongo?
=======
Aghhhh! mimi sijui bwana.nadhani wapo wanaojua vizuri mambo haya. Ninachojua mimi ni kwamba vitabu vya dini vimeaandika kuwa "Mfitini ni mtu mbaya kuliko muuaji" hii ni kwa sababu mtu anaweza akawafitinisha watu wakaingia kwenye mgogoro usiokuwa na maana na baadae wakapata maafa yasiyomithilika na kumbe wala hata hapakuwa na tatizo la msingi bali fitna tu.
Ushawahi kuishi na watu wanakuja wanakuambia "fulani anakufanya hivi na hivi, anasema atakufanya hivi au vile, anania mbaya na wewe "n.k halafu ukifatilia unagundua kuwa yule yule anaenda kule upande wa pili anasema na wewe jinsi ambavyo una nia mbaya na upande wa pili. Basi utakuta watu ambao walikuwa marafiki wakikutana wamenuniana kila mtu anadhani mwenzake ni adui mkubwa, kubwe wala hata hakuna mwenye nia mbaya na mwenzake tatizo ni fitna tu.Fitna mbaya sana ndugu zanguni.