AHAHAHHAHHA umeona enh!Mimi naona vile mtu anavyojuana na marafiki zake. Kama ndio tabia zao za kuchukuliana mabwana amani haiwez kuwepo akifika kwake. Kama una rafik macho juu juu na wewe uko hivyo.
Yani mtu una rafiki kabla hata hujakutana na huyo mwanaume umkimbie kisa umeolewa. Yan vitu vingine vinachekesha kwakweli
ahahahaahhaa utafiti wako kiboko!Baadhi ya wanawake wa pwani hawataki marafiki kwao
Ila wanawake wa bara wanaona hakuna tabu kuwa na marafiki
Nilicho gundua kwenye michango ya wadau hapa
Baadhi ya wanawake wa pwani hawataki marafiki kwao
Ila wanawake wa bara wanaona hakuna tabu kuwa na marafiki
Nilicho gundua kwenye michango ya wadau hapa
Tangu lini?Mbona mie wa pwani napenda marafiki?!
Unajua kuna wakati mwingine unaamini mtu kupita maelezo.Pole sana halafu wewe unakuwa unamwadithia mambo yako anakuchora tu halafu huwezi mgundua mapema, kuna mama 1 alisema nilipo ambiwa sikuamini kabisa kwa ule urafiki wetu, mpaka alipojifungua kaenda kuangalia mtoto yaani copyright na mmewe ninavyokwambia nibimdogo tena anayetambulika kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi sina shosti ndugu yanguNdiyo waje kukutembelea shost wangu mme akija asalimie nakupita chumbani kwa wiki mara 4 unasahau hata kumpokea mme kwa mziko alikokuja nako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mashosti ni wazuri na wanafaa kabla hujaolewa, ukishaolewa tu wanakuwa maadui?
Hivi kila rafiki akuonee wivu wewe, kisa umeolewa au kwa kipi haswa? Afu inanichekeshaga sana, mwanamke atakwambia sitaki mashosti wanafiki, sasa sijui nani sio mnafiki kama kila mtu anamuona mwenzie mnafiki. Kila mtu mwema ila wenzie wote ndo wabaya. Dunia hii teh
Same to you.We mwana mpotevu wewee!
Kwanza kabisa Happy New Year 2018/2019..
Halafu nilivyoku miss sasa.
I'll have to make a trip sooner than later!
Same to you.
Sio kwa kupotea huko, huko mataifani hawajambo?
Ahsante kwa ushauri mzuri dada Sky EclatUkiwa kwenye ndoa mume ana sehemu yake katika maisha yako. Binadamu tukiwa social animals tunahitaji marafiki, wa kusaidiana nao katika kuongeza siku hapa dunuani. Ukiwa kwenye ndoa inabidi uwe na mipaka katika uhusiano wa mashost kumzoea mume wako.
Kwanza shost kuja nyumbani si busara. Nyumbani ni sehemu ya familia na privacy izingatiwe. Yale mambo ya kuanikana siri barabarani kuwa wakimaliza kula yule mwanaume ndiye muosha vyombo hayahusu.
Ikitokea shost amepata dharura inabidi aje kwako. Apige simu na uelewe sababu inayomleta. Kama mume yuko sebuleni anaangalia TV, mtake radhi aende chumbani japo kwa lisaa limoja, unaihitaji sebule. Akija shost msikilize, baada ya lisaa ulilomuahidi mume kwisha mtake radhi shoga kuwa muda wa kumsikiliza umekwisha, mengine mtayamaliza kwenye simu.
Kama watazoena wazoeane kwa kukutana ki vyao si chini ya pua yako.
Nasikia wanasema 'a friend of a wife does better on bed'
Waleteni tu
Tunamshukuru Mungu.Salama tunashukuru!
Hope na nyie wazima!
Mimi hata usipomleta nyumbani ni kosa kuwa na rafiki na nikamjua.