Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
Mlete mama yako na dada zako.Mwanamme wa Dar unapenda wanawake kweli, acha kutudanganya hapa.
Mlete mama yako na dada zako.Mwanamme wa Dar unapenda wanawake kweli, acha kutudanganya hapa.
The way we keeping it real with my girls aaaah banaKazi aseh, umenifanya nikumbuke yale magazeti yako ya nondo..
Kwa hiyo, kuna kuolewa na ku lose mashost. Ama kuolewa na ku keep mashost lakini uishi nao roho mkononi mbele ya mume.
Wanawake tuna kazi.
Weee uje umkonyeze mume wangu
Halafu nilivyoku miss sasa.
I'll have to make a trip sooner than later!
Hahaa hilo jina linamfaa mnoooWe mwana mpotevu wewee!
Kwanza kabisa Happy New Year 2018/2019..
Nishakutumia m-pesaMkiona nimepotea mnajiongeza jamani mnanitumia pesa kidogo kulegeza vyuma.
Sio mnanipachika majina tu, nadhani tumeelewana
Nalendwa
In short angalia na aina ya rafiki yako, sio kisa mume ni mstaarabu basi unamletea marafiki ambao wanaweza kuleta ushawishi hata kwa malaika.Mmmh jamani
Kualika shosti nyumbani? Au chumbani?!
Sioni tatizo mtu uliyezoeana nae kuja kwangu, nitaona tatizo akiingia chumbani
Mwanaume anayejielewa atasalimia za saa hizi ataondoka zake!
Ila kama ni macho juu juu basi tena.
Kwa maana hiyo utakuwa unafanya jambo kumchunga mume ambaye anaweza kumfata mwingine hata kwa kuchukua namba kwenye simu yako mwenyewe!
👍In short angalia na aina ya rafiki yako, sio kisa mume ni mstaarabu basi unamletea marafiki ambao wanaweza kuleta ushawishi hata kwa malaika.
Mke wangu ana marafiki zake ambao huwa wanakuja kumtembelea na sioni kama nitatizo hata kama wataongea nikiwepo au nisipokuwepo ila kuna siku alikuja rafiki yake mmoja hivi ni nesi katika Hospital fulani Dar es Salaam.
Japo ni mtulivu na anaonekana ni mtu wa dini sana lakini Shape yake na aina ya muonekano wake hakuna mwanaume ambaye anaweza kumuona asimtamani.
Alivaa kiheshima sana lakini alivyoumbika sina namna ya kuelezea nikaeleweka vizuri. Nilisalimiana naye kwa kupeana mikono kisha wife akanitambulisha, tukaongea kidogo then nikawaacha nikaondoka zangu.
Niliporudi nilimkuta na alilala nyumbani, siku ya pili aliondoka kurudi na tukawa tunasalimiana bila shida lakini wife hakusita kunitahadharisha kwa kuniambia "Yule ni rafiki yangu" Amejaaliwa shape na kila kitu naomba usije ukamtongoza, akaendelea kuniambia....... Nilisoma naye na tulikua kama ndugu. Tangu shuleni alikua na maumbile hayo hayo na siku zote alikua anataka kuja kunitembelea nikawa nashindwa kumleta kwakua najua anaweza kuja kunitaifisha mume kama mume atakosa moyo wa utulivu.
Wiki yote amekua akiomba aje kunitembelea jana ndio akaja hivyo nikawa sina jinsi. Japo nilikosa kujiamini kabisa kutokana na alivyo japo hana tabia za kihuni.
Hayo ndio yalikua maelezo ya wife, sasa wewe unasema rafiki yako kuja sebuleni sio shida ila kumbuka na muonekano wake unachangia. Akiwa mzuri sana unajihatarishia ndoa yako mwenyewe, wanaume hatujaumbwa na mioyo kama malaika na vichwa vyetu vinaendeshwa na hisia kama kitaonekana kitu cha kusisimua hisia. Tamaa humpata kila mtu kwa mazingira tofauti, tuleteeni marafiki lakini kabla ya kumleta rafiki hakikisha mwanaume wako asije akapata tabu ya kumfikiria rafiki yako kwa muonekano wake tena ukigundua hata wewe unahisi rafiki yako ni mzuri kupita kiasi usimlete nyumbani.
Tunavumilia lakini kuna muda tunashindwa. Kuweni makini mapenzi hayana komandoo
Mkorintho wa 6
Akiingia chumbani kwangu labda nisijue sababu atakua alishaona siri za ndani maana huko tumeweka nguo zetu hadi za ndani kwenye enga, sasa kama ameingia huko basi atakua amebeba sifa zote za kumsaidia mke naye huenda akawa mkeUshosti/urafiki/mazoea ya kijinga na familia yangu hasa mume staki aisee,.lazima tujue kutofautisha familia na urafiki,.urafiki una sehemu yake na muda wake,.mazoea ya kupelekana mpaka vyumbani hapana kwa kweli,.kuna watu hawana staha na "vyumba" vyao atii,.mgeni akija akaribishwa hadi chumbani unako lala na mumeo,inahuuu?!!!
In short angalia na aina ya rafiki yako, sio kisa mume ni mstaarabu basi unamletea marafiki ambao wanaweza kuleta ushawishi hata kwa malaika.
Mke wangu ana marafiki zake ambao huwa wanakuja kumtembelea na sioni kama nitatizo hata kama wataongea nikiwepo au nisipokuwepo ila kuna siku alikuja rafiki yake mmoja hivi ni nesi katika Hospital fulani Dar es Salaam.
Japo ni mtulivu na anaonekana ni mtu wa dini sana lakini Shape yake na aina ya muonekano wake hakuna mwanaume ambaye anaweza kumuona asimtamani.
Alivaa kiheshima sana lakini alivyoumbika sina namna ya kuelezea nikaeleweka vizuri. Nilisalimiana naye kwa kupeana mikono kisha wife akanitambulisha, tukaongea kidogo then nikawaacha nikaondoka zangu.
Niliporudi nilimkuta na alilala nyumbani, siku ya pili aliondoka kurudi na tukawa tunasalimiana bila shida lakini wife hakusita kunitahadharisha kwa kuniambia "Yule ni rafiki yangu" Amejaaliwa shape na kila kitu naomba usije ukamtongoza, akaendelea kuniambia....... Nilisoma naye na tulikua kama ndugu. Tangu shuleni alikua na maumbile hayo hayo na siku zote alikua anataka kuja kunitembelea nikawa nashindwa kumleta kwakua najua anaweza kuja kunitaifisha mume kama mume atakosa moyo wa utulivu.
Wiki yote amekua akiomba aje kunitembelea jana ndio akaja hivyo nikawa sina jinsi. Japo nilikosa kujiamini kabisa kutokana na alivyo japo hana tabia za kihuni.
Hayo ndio yalikua maelezo ya wife, sasa wewe unasema rafiki yako kuja sebuleni sio shida ila kumbuka na muonekano wake unachangia. Akiwa mzuri sana unajihatarishia ndoa yako mwenyewe, wanaume hatujaumbwa na mioyo kama malaika na vichwa vyetu vinaendeshwa na hisia kama kitaonekana kitu cha kusisimua hisia. Tamaa humpata kila mtu kwa mazingira tofauti, tuleteeni marafiki lakini kabla ya kumleta rafiki hakikisha mwanaume wako asije akapata tabu ya kumfikiria rafiki yako kwa muonekano wake tena ukigundua hata wewe unahisi rafiki yako ni mzuri kupita kiasi usimlete nyumbani.
Tunavumilia lakini kuna muda tunashindwa. Kuweni makini mapenzi hayana komandoo
Mkorintho wa 6
Usimtambulishe wamjue, mfiche kama utumbo. Mkikutana na friends unamwambia "baby tangulia"Kwa mfano asingekuja nyumbani mkakutana kwenye event au hotel?
Mlete mama yako na dada zako.
Usimtambulishe wamjue, mfiche kama utumbo. Mkikutana na friends unamwambia "baby tangulia"
Mbona nimejikuta tu mgazeti umeshuka hahahaThe way we keeping it real with my girls aaaah bana
Weee uje umkonyeze mume wangu
Usimtambulishe wamjue, mfiche kama utumbo. Mkikutana na friends unamwambia "baby tangulia"
Achana na Hornet kijana hangaika na mambo mengine usije ukapotea kwenye mazingira ya kutatanisha