Tuliokimbia hesabu Sekondari tukutane hapa

Tuliokimbia hesabu Sekondari tukutane hapa

Mr Suprize

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
877
Reaction score
981
Habari zenu wadau! Hebu tuambie ni hesabu gani ulikuwa huzipendi kipindi upo Sekondari, na zipi ulikuwa unazipenda Sana..... Binafsi hesabu za maumbo nilikuwa nazichukia Sana,
8f53c1ff71ad84f5ab943b035f2f9635.jpg
yani nikiletewa Pepa nikiona tu michoro ya maumbo hata sisomi Hilo swali navunga kama sijaona vile .... Hesabu nilizokuwa napenda Sana ni zile za kubadili saa ya kawaida kuwa masaa 24 hapo nilikuwa siachi marks.. Nawe tuambie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu wadau! Hebu tuambie ni hesabu gani ulikuwa huzipendi kipindi upo Sekondari, na zipi ulikuwa unazipenda Sana..... Binafsi hesabu za maumbo nilikuwa nazichukia Sana,
8f53c1ff71ad84f5ab943b035f2f9635.jpg
yani nikiletewa Pepa nikiona tu michoro ya maumbo hata sisomi Hilo swali navunga kama sijaona vile .... Hesabu nilizokuwa napenda Sana ni zile za kubadili saa ya kawaida kuwa masaa 24 hapo nilikuwa siachi marks.. Nawe tuambie

Sent using Jamii Forums mobile app
Katika hesabu ulizokuwa unapenda Umesahau na kujumlisha . Ngoja wenzio waje
 
Sijisifii ila kiukweli wakati nipo secondary level na primary level nilikuwa na akili nyingi sana isipokuwa kwenye maths.hata wale wapinzani wangu walikuwa wanategemea gepu kubwa kwenye math...wakishindwa kunipita zaidi ya maksi 60 ilikuwa ndo bhas tena lazima niwe wa kwanza tu....as you know primary ni mwendo wa kuosheana tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom