Tuliojilea wenyewe uswahili maisha magumu tukumbushane maisha tuliyopitia

Liverpool VPN

JF-Expert Member
Aug 29, 2020
5,839
13,095
INTRODUCTION
Nawasalimu kwa jina la chama kubwa YANGA basi jibuni "Ubingwa uendelee""

Naanza Mimi.
Mimi nilizaliwa mjini Daslam! Miaka ya 1990. Wakati nazaliwa tulikuwa tunaishi Mwananyamala B
Na nikiwa mdogo nilifiwa na wazazi nikachukuliwa na ndugu kwenda kuishi mwananyamala Komakoma.

Hapo niliishi miaka 2 kabla sijachukuliwa kwenda kuishi Mwananyamala Kisiwani (Mchangani). Kifupi nimeishi uswahili hasaa maisha yangu yoteee ya utotoni na kujitafuta.

THE PROBLEM
Wakati naishi na shangazi yangu mtaa wa Mwananyamala Mchangani, shangazi yangu alikuwa bizee sanaa na kazi. Alikuwa akitoka alfajiri hapo kurudi ni saa 4 usiku. Na akirudi kachoka then ni kufika, kula na kulala.

Nyumba ya shangazi yangu ilikuwa haina chumba cha watoto wa kiume hivyo Mimi nilikuwa nalala nje barazani. Hivyo walikua wakifunga mlango basi Mimi ni kuamka kutoka kibarazani na huyoo kuingia mtaani.

Yaani nilikuwa naingia mtaani na kukaa na wahuni wa mtaani. Mimi wavuta bangi na wahuni wotee wa Mwananyamala na Kinondoni nawajua (kwasababu walikua wananiona usiku nazurura na asubuhi nikienda Shule napishana nao).

Kata za Mwananyamala, Kinondoni na Makumbusho/Kijitonyama kwa washua ndio zilikuwa "Teritori" zangu zilizonilea. Mitaa yake humo nilipiga sanaa dili za pesa ili nijileee.

MITAA MIGUMU NILI-SURVEY USIKU
1. Kuanzia ile mitaa ya ya Mwananyamala B (ile njia kutokea Barabara ya lami Ujiji kwenda soko la mapinduzi)
Ile Barabara/ule mtaa ulijaa wavuta bangi na walapoda bila kusahau malaya (wahaya). Nilikua nikipita mule nakuta vijana wapo na stimu za poda na wengine wanavuta bangi tu bila kusahau raia wakizama kwenye magheto ya wahaya kwenda kula mbunye za buku.

2. Mtaani wa Mwananyamala kwa kopa
Yaani najua vichochoro vyotee vya kwa kopa. Anza makaburini, mpaka zile njia za kutokea Kinondoni. Rudi huku nyuma Mwananyamala bwawani mpaka mitaa ya kutokea Victoria kotee kule Mimi ni taita wa night to night shift!

3. Mwananyamala A
Hii yotee niliimaliza mpaka mitaa ya Mwananyamala hospital na njia yotee ya kuelekea Kinondoni studio.

Kifupi Mimi nilijilea
Yaani nikila home halafu nisiposhiba ndio nichakachue akili nikashibie wapi, nikiwa nahitaji nguo mpya ndio nitafute dili ili nipate Nguo za sikukuu! Kifupi shangazi yangu hakuwa na kipato, hivyo alitoa shelter tu kwake ila vitu vyengine nitafute mwenyewe kwa madili kama ya kuchotea watu maji na madili ya usiku.

Nilikua na uwezo wa kuwa mvuta bangi, mla poda na UJINGA mwengine mwingi wa ujana lakini huwezi amini, pamoja na ujana wotee na kuwa huru bila uangalizi ila sikuwahi vuta hata sigara. Japo mbunye za Bure nimekula sanaaa usiku. Na kipindi kile ndio Ukimwi njenje ila "Niliokoka" mamaeeeeee. Mbususu za MK, Mango Garden, wahaya wa Mwanyamala B nazijua zotee.

Kifupi nilianza ngono darasa la 6, yaani balehe ilishindwa kuniacha salama nisile mbunye za usiku kwa usiku Tena bureee ile kibaharia.

Kipindi kile ukisikia mnanda (siku hizi mmeuharibu mnaita singeli) unapigwa Mwananyamala kwa Kopa (mtaa wa Chaukucha) ilikuwa ni lazima niende na nikakeshe. Nilikuwa narudi saa 8 usiku then 12 alfajiri nawahi Shule.

Shule ya msingi nimesoma Kinondoni then nikahamishiwa Mwananyamala Kisiwani na sekondari (O'level) nimesoma Kambangwa na Advance Benjamin Wiliam Mkapa High School (PCB..!!)

Yaani ile kufiwa na wazazi kulinifanya nijilee mwenyewe na kitaa, maana huyo shangazi yangu alikuwa bizee kutafuta hela na kunisahahu kabisa ila NILIMPENDA SANAA. Hakunitesa wala kunisimanga.

Wale wanawake wa Mwananyamala B (wahaya) wanaojiuza kwenye vyumba vyao nilikuwa nawajua woteee.
Tena Kuna kipindi walikua washkaji zangu sanaa na mmoja wapo alisemaga yeye ni yatima kama Mimi hivyo alitengeneza bond kubwa sanaa na Mimi mpaka kuanza kunipa mbunye nikiwa darasa la saba tena bureeee.

Wale makahaba wanaosimama pale Barabara nzima ya komakoma kwenda Kinondoni studio nilikuwa nawajua. Kipindi cha weekend ile mitaa ya vijana, MK na bar zote za pale ndio ilikuwa sehemu yangu ya starehe (kipindi hicho Niko O'level).

Kuna kipindi nilikua nashinda Mango garden na Aunt petter na Aunt Salumu (sasa hivi sijui wako wapi wale mashoga). Wakati huo ni bendi laivu ya kina Banza stone, mara leo Ali Choki na wengine wakina Mwinjuma Muumini. Viwanja vyotee hivi nilikua naingia bureeeee.

Siku nyengine nilikua naenda pale Mwananyamala A viwanja vya Mwinjuma kwenda kucheki mazoezi ya bendi ya TOT ya wakina Khadija Kopa.

Sikuwa pekee yangu nilikua na masela wangu wa4 ambao kutokana na umri na majukumu then hatuko taiti sanaa siku hizi. Na kibaya kati ya sisi wa 5, mmoja alikuja kuwa mwizi, aliiba mitaa ya ujiji akauliwa. Mwengine akaja kuwa mvuta bangi, mwengine mla poda na huyu mla poda alikufaga na ukimwi alipewa na wale wahaya wa Mwananyamala B, Mimi nilinusurika mamaeee.

Maana ukimwi wa 2000 ulikuwa balaaaaa. Nilishuhudia watu wakifa na ule ukimwi ilikuwa nomaaaaa. Yaani katika lile kundi tulipona wawili 2, kwasasa Mimi Niko serikali na mshkaji wangu ni accountant kwa Dewji (METL).

MATUKIO NILIYOSHUHUDIA
1. Watu kunyanduana live
2. Wake za watu na waume za watu WAKIFANYA UJINGA usiku.
3. Mwalimu wangu wa Maths O'level akimnyandua shoga (nyuma ya viwanja vya Mango garden)
4. Watu wakivunja nyumba usiku, hii ilikuwa mitaa ya Kinondoni kanisani (kanisa la Lutheran)
5. Watu kuporwa usiku
6. Na mengine mengi ya usiku.

FUNDISHO
Nilijifunza wazazi/walezi wengi wanatafuta sanaa pesa ila wanasahau kulea watoto wao. Hebu fikiria nilikua naondoka nyumbani saa 4 usiku na kurudi saa 8 usiku au 9 ila shangazi hajui. Kwahiyo nilikuwa na uwezo wa kuwa shoga, mwizi, mvuta bangi au uovu wowote bila shangazi kujua.

Shangazi yangu alikuwa anajituma sanaa na kazi za ofisi ila nyumbani tulijilea wenyewe, hii ilikuwa mbaya sanaaa. Maisha ya kutembea usiku yalinifanya niwe mbabe hasaa. Sijawahi kuporwa au kufanyiwa ujinga wowote na wahuni maana niliishi nao na usiku muda mwengine nilikua nakaa nao vijiweni.

Ila bana; Kuna siku Niko na masela pale Kwakopa makuburini mara difenda hiloo aisee na Mimi nikababwa.

Kufika kituoni Kinondoni nakuta baba ake James (Afande masawe) yupo zamu (mwanae James nilikuwa nasoma nae O'level) Niliachiwa tu buree. Ikabidi nitembee kutoka Kinondoni nikapita Vijana pale then MK na kujirudisha home kwa miguu.

Kuna ujinga fulani siwezi kuandika humu maana nitaitumia siku nzima kuuandika. Mfano; pale bar ya MK mwananyamala kulikua na malaya mmoja anaitwa Immakulata, alishawahi niita pembeni nimlinde akojoe..!! Kumbe alitaka nimchezee sehemu zake za siri (na kweli nilizichezea hasaaa kwa mikono).

ANYWAY:
Masela wangu wa Mwananyamala, Kinondoni, Victoria, Hananasifu, Mkwajuni, Makumbusho. Yaani kuanzia Magomeni kwenda mpaka Makumbusho na Mwenge kidogoo nawapa hai.

Ni Mimi msela wenu wa Liverpool kutoka chama langu la Big M (Kwakopa) na mpaka kule bar chafu nyuma ya Victoria (Siku hizi Kuna Tanzanite building)

Juzi nilienda nikakuta masela kibao wamehama mitaaa.

Kifupi:- NILIKUWA MUHUNI SANAAAAA.
Hakika MITAA IMENILEA.

#YNWA
 
Ukae mwananyamala ujauza poda mkuu upewe maua yako
Mm nimekulia Kino mtambani hapo
Biafra enzi hzo kuna michezo mara bembea magari
Morocco kuendesha baiskeli na viatu vyetu vya matairi kutoka Morocco mpka magomeni dahh cio poa
Ila Kino na mwananyamala watumia poda ushoga bangi ni kugusa
 
Kuna jamaa yetu wazazi walitengana, akatoka mkoa kupelekwa dar kwa baba yake na huko akakutana na songombingo za mama wa kambo ndo akajiingiza kwenye hizo group za mwananyamala.

Mother ake aliposikia jamaa kaharibikiwa ikabidi amrudishe mkoa na tukawa wote class moja. Jamaa alikuwa kashaharibiwa na exposure za ngono, akawa na group maalumu bhana la kucheki mikanda ya xxx, mitungo na kujichanganya town.

Ubaya jamaa alikuwa smart sana akitulia kidogo tu class ni top ten straight lakini hata seco hakumaliza maana tayari mtaa ulishamteka. Mother ake kapambana sana lakini ilikuwa too late, jamaa huwa nikimuangalia life analoishi na potential aloyokuwa nayo, roho huwa inaniuma.

Hongera mkuu wa kuokoka na hiyo life, sio rahisi.
 
YANGA BINGWA

Ola Mshukuru Mungu sana haukuwa muumini wa Poda sisi wengine tulisaidiwa na imani za dini Magomeni.

1. Marafiki karibia 50% wala poda na bangi
2. Mashoga kama wote kitaa
3. Malaya kama wote wanaohold nyumba nzima.

Yaani kuna mwana alikuwa na kifafa kile konki kabisa mademu wanamkimbia so alikuwa anachoteshwa maji Nyumba ya wauza mbunye magomeni than wanamlipa mbususu nilimkanya sana ila hakusikia mpaka wazee wake wanakuja kujua ilikuwa too late akayakanyaga miwaya. Ile nyumba ilaaniwe na wale malaya walikuwa wanambadilishia ladha tu mwana za mbunye R.I.P my best Friend
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom